Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
lisu mjanja sana huyu mwanasheria
Hakuna uchochezi wowote hapo bali ni ukweli mtupu! Kwanza wao hawautaki muungano sasa mambo ya bara wanang'ang'ania kushiriki kuyajadili yanawahusu nini?
ishu inakuja kwamba znz haieleweki colon la tanganyika au nch huru,coz katiba inasema znz cio nchi,ikiwa wanautawala na jeshi lao(kmkm)so,km ni nchi wanayo haki yakutowashirikisha
Nakubaliana na hoja yako, ila naongezea hili la wao kushiriki uamuzi wa Katiba 50/50 wakati sehemu kubwa ya katiba inawahusu wabara, na wakti katiba yao huwa hawatushirikishi licha ya kuwemo mambo ya Muungano. Hii imekaaje?
Kitambulisho cha taifa ni bendera, wimbo wa taifa na katiba yao. Najua bendera wanayo, katiba wanayo na sina hakika kama wimbo wao wa taifa bado unapeta. Cha msingi Wazanzibar licha ya kulalamikia Muungano lakini hawako tayari kuongelea ulaji wa huku bara kwa maana kwamba wanatupunja haki nyingi za msingi ambazo wabara tumewagawia kama hisani ya kudumisha muungano.
hizi wewe ndio umeona sababu za msingi za kutaka kulalama embu jifunze na miungano mingine duniani ikoje kwanza utaona huo wetu una afadhali huko Scotland wana bunge, na kujiwakilisha kimataifa na mambo mengi tuu. Na bado wana wabunge wa kwao kwa scotland tu licha ya wanaokwenda westminister.
Embu leteni sababu za maana na si huu upupu.
hizi wewe ndio umeona sababu za msingi za kutaka kulalama embu jifunze na miungano mingine duniani ikoje kwanza utaona huo wetu una afadhali huko Scotland wana bunge, na kujiwakilisha kimataifa na mambo mengi tuu. Na bado wana wabunge wa kwao kwa scotland tu licha ya wanaokwenda westminister.
Embu leteni sababu za maana na si huu upupu.
Mchelea mwana mwisho hulia. Kuna idara na wizara zinazowahusu wabara tu, kwa nini hizo zijadiliwe na Wazanzibar ambao haziwahusu? Hapa kuna jambo linaloonyesha kuzunguka mbungu, kwa nini hatutaki kuongea uwazi kwa masuala ya maslahi ya kweli kwa pande zote. Wazanzibar wakiguswa kuhusu haki za wabara ambazo wanafaidi matunda yake wakali lakini mambo madogo madogo tu yanayowahusu wanalalamika utadhani wabara tunainyonya Zenj.
Mchelea mwana mwisho hulia. Kuna idara na wizara zinazowahusu wabara tu, kwa nini hizo zijadiliwe na Wazanzibar ambao haziwahusu? Hapa kuna jambo linaloonyesha kuzunguka mbungu, kwa nini hatutaki kuongea uwazi kwa masuala ya maslahi ya kweli kwa pande zote. Wazanzibar wakiguswa kuhusu haki za wabara ambazo wanafaidi matunda yake wakali lakini mambo madogo madogo tu yanayowahusu wanalalamika utadhani wabara tunainyonya Zenj.
Ndugu yangu kama una weza nitajie hizo idara zisizo wahusu wazenji? sio kua sijui kua ziko ila katiba yenu haikutenganisha yapi mulioungana na yepi hamukuungana na ndio maana ukichukua karatasi yoyote leo inayotoka wilaya au mkoa au ofisi ya serekali kutoka bara imeandikwa ni yajamuhuri ya muungano,hali hiyo ni tofauti na zanzibar ni baadhi ya idara tu ndio karatasi huandikwa za jamuhuri ya muungano mfano karatasi za polisi.
Nimeona niwafafanulie tena,
Katiba iliopo ni ya Jamuhuri ya muungano sasa vipi mzanzibari asishiriki mambo yote wakati yuko katika muungano?
Kama itakua iko katiba ya Tanganyika Hapo haitakua haki wazanzibari kushiriki.Hii nikama ilivyo kwa zanzibar Wabara Hawawezi kushiriki kutokana na kua serekali na katiba ya zanzibar haviwahusu wabara.
Sasa chakufanya nyinyi undeni katiba inayohusu Tanganyika muone kama hata nnzi kutoka zanzibar atatua hapo.
alioyasema Lisu yengekua sawa kama wakati anasema hivyo iko serekali inayohusu Tanganyika tu.au katika katiba hii hii ya sasa yako mambo yalioainishwa na katiba kua haya sio ya muungano.
Kwamfano katiba ya Zanzibar inatamka wazi kua ulinzi yani jeshi na polisi ni wamuungano.lakini niatamka pia mambo yasio ya muungano mfano Magereza sio wa muungano.
au vyeti vyakuzaliwa vya zanzibar haviandikwi kua neno muungano lakini vyeti vya Tanzania vyote vinaandikwa ni vya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
suali linakuja ni jambo lipi kwenu sio la muungano? Maana document za serekali zote zimeandikwa za jamuhuri ya muungano,hebu niambieni hapo utaweza vipi kumtenga mbunge kutoka zanzibar wakati nyinyi wenyewe hamuko tayari kutenganisha mambo ya muungano na yasio ya muungano?
Mimi binafsi siwezi kuja hapa na kutetea hawa baadhi ya wazenj wapuuzi, hila najua kuna ambao na wao wanautaka muungano. Ina maana kuwe na sababu za maana za kuzungumzia haya mambo lakini si jinsi zanziba wanavyo jadili mambo yao kwa sababu ingawa katiba sijaisoma hila common sense inaniambia ya kuwa kuna vitu bunge lao aliwezi jadili lakini kuna lazima wawe na hiyo haki ya kujadili local issues.
znz was a independent state kabla ya muungano kwa maana hiyo wana haki ya kubakiza some autonomy as a state hule si mkoa kama wengi mnavyotaka kupotosha sioni haya malalamiko yana msingi gani na kutowekwa wabunge wa zenj katika bunge la TZ maana ya huo muungano itakua I make sense kabisa. Kuna mambo mengi ya msingi ya kuzingatia lakini si ubunge na jinsi wanavyochangia thats just low with the issue at hand.
Labda TFF LOL, hivi unadhani hawaelewi? wanachojaribu kufanya ni kutafuta jinsi ya kuuficha ujinga wa Lissu ila kila kitu wanakijua vizuri tu.