Nyerere alikuwa binadamu kama wewe lazima atakuwa na mapungufu usitake kufanya watu watu wajue nyerere alikuwa mtakatifuhttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kwa-uongo-na-udanganyifu-57.html#post12982415
hii ndio thread iliyonifanya nikaanzisha thread kuhusu huyu bwana.
Inawezekana amemkashifu nyerere kwa kuwa uelewa wake ulikuwa ni wa kitoto au ulighubikwa na ulevi wa tasker
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kwa-uongo-na-udanganyifu-57.html#post12982415
hii ndio thread iliyonifanya nikaanzisha thread kuhusu huyu bwana.
Inawezekana amemkashifu nyerere kwa kuwa uelewa wake ulikuwa ni wa kitoto au ulighubikwa na ulevi wa tasker
Nyerere alikuwa binadamu kama wewe lazima atakuwa na mapungufu usitake kufanya watu watu wajue nyerere alikuwa mtakatifu
Naona Kibo255 umefuta post yako inayosema hakuna asiliye msafi...umekiri
Binadamu wote tunamapungufu hakuna mkamilifu nyerere alikuwa binadamu kama wewe lazima awe na mapungufu na hakuna aliye msafi wewe gamba ccm huu ndio mwisho wenu mtaweweseka sana
Mimi siwezi weweseka kama lissu bana.
Nifuatilie msimamo wangu utajua hilo.
Nilimuheshimu sana mheshimiwa huyu na kumkubali hasa pale alipokuwa akitoa hoja zake bungeni na nikamuamini kama ni msema kweli na mtu mwenye msimamo usiotetereka..
kumbe sikuwa sahihi na ilikuwa ni suala la muda tu na price yake ilikuwa haijafikiwa.
Ni Tundu lissu aliyewaaminisha watanzania kuwa Chadema imejengwa kwa kumwaga damu za wanachama wake na hivyo haiko tayari kuiacha damu hiyo imwagike hivi hivi.
Ni tundu lissu aliyeaminisha umma kuwa bunge linafanya kazi kilaghai na kuliita 'Silly session' kwa kuwa wabunge hawakuwa wakweli katika kuwatetea watanzania.
Ni Tundu lissu aliyekuwa mbele katika kuitikana ccm na serikali yake lowassa akiwemo kuhusu ufisadi uliotamalaki serikalini.
Ni tundu lissu aliyeawaaminisha wanachasema na Cuf na Nccr kuwa katiba inayopendekezwa ni bomu na ni katiba ya kina Chenge na wenzake.lakini amekubali kuila meza moja na mwanaccm aliyeipinga katiba ya warioba!
Najiuliza ni lini Ndugu huyu ameanza kuishi uongo na udanganyifu???
Tundu lissu alimshutumu Nyerere kuwa alikuwa mwongo na mdanganyifu...lakini leo hii ni yeye aliyeanza kuishi uwongo na udanganyifu.
Kumbe Tundu lissu anaweza kununulika??
Tanzania politics is just another silly session!!!
Kinana alisema UKAWA ni genge la wanaotaka madaraka hakukosea kwa kauli hii kwani walitaka serikali tatu ili wapate vyeo tu na kutuongezea gharama.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA