Chadema haya matukio wanafanya kusudi wanajua wakitulia umaarufu wao kwisha, akitoka mbowe, ataunga lisu mara utamskia mwingine...hawana lolote wanakula tu ruzuku ya chama kwa kesi nyingi badala ya kujengea ofisi za vyama vjijini..hawana lolote na wananchi wanazid kumuunga mkono Rais Magufuli.... Na watatapatapa saana lakin hawata furukuta..