Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aendelea na kampeni katika viwanja vya Bank, Mombo Korogwe vijijini na viwanja vya Mwanjani Tanga

Hoja ya kuponda ndege itaenda kumuomyesha cha mtema kuni LIsu usukumani wana hasira naye ya kufa mtu.Sehemu zote za starehe agenda ni hasira waliyonayo kuziponda ndege alikoongelea kanda ya ziwa.
Umezoea uongo ww.
Kabla ya ndege za jiwe kulikuwa na FASTJET, nauli yake Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70.
Saivi baada ya kuua Fastjet, kwa ndege mpya za jiwe Dar - Mwanza ni laki 4.
Afu unaleta porojo hapa!
 
kaipande toka mwanza uone watu wanavyobeba samaki.Ndege zinazopeleka samaki kwa sasa ni za mizigo za Rwanda na za ulaya.Sasa ukimwambia msukuma ndege hazina faida wakati anaziona zinabeba samaki kupeleka ulaya na Magufuli kaahidi kununua ndege za mizigo ili ziwe zetu ndio zinabeba wanakuona mjinga tu

Hoja ya kuponda ndege itaenda kumuomyesha cha mtema kuni LIsu usukumani wana hasira naye ya kufa mtu.Sehemu zote za starehe agenda ni hasira waliyonayo kuziponda ndege alikoongelea kanda ya ziwa.

Tarehe 28 october maeneo wanaojua umuhimu wa ndege yafuatayo ajiandae kupigwa chini

Watu wanaoelewa umuhimu wa ndege ni mikoa ifuatayo

1.Mikoa ya kanda ya ziwa yote
2.Dar es salaam
3.Mikoa ya kanda ya kaskazini ambayo ni KILIMANJARO ,ARUSHA NA manyara
4.Mbeya
5.Zanzibar

Hiyo mikoa Chadema wajiandae kufunga virago.Hoja moja iliyowaporomosha ni Lisu kuponda ndege sababu ni wapanda ndege maarufu na ndege hufurika sana huko kwa ajili ya watalii na mizigo zikiwemo za Air Tanzania

Mikoa hiyo ndiko kipigo cha mbwa koko kitatokea kwa mbelgiji Tundu LISU
Ona hyu jamaa ,mfumo wa elimu mbaya unaolalamikiwa humu ndy ambao umemtengeneza hyu jamaaa..kosa sio lake!! Mfumo huu umefanya hyu jamaaa aendelee kuwa mbumbuu kila kuchao!!mfumo mfumo mfumo!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Umezoea uongo ww.
Kabla ya ndege za jiwe kulikuwa na FASTJET, nauli yake Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70.
Saivi baada ya kuua Fastjet, kwa ndege mpya za jiwe Dar - Mwanza ni laki 4.
Afu unaleta porojo hapa!
fASTJET ILIKUFA SABABU NAULI HAIKUWA realistic ku recover cost.ILE NDEGE wenyewe walikuwa mafisadi waliokuwa serikalini wakiiba wasingizie wanaendesha biashara ya ndege.
Hiyo nauli yako ya uongo ilikuwa kwa baadhi ya tiketi.Ukipanda ilikuwa kila mtu ana nauli yake maximum uilikuwa 320000

sasa ilikufaje wakati nauli ya basi kutoka dar es saaam hadi mwanza nauli ni elfu 70 na mamia ya watu wanasafiri kila siku si ingekuwa inaendelea kufanya kazi.MBONA PRESICISSION air wapo? wanadunda> Na mashirika ya ndege kibao yako hewani kama airlink nk
 
Rubbish.. iliuliwa na pombe kwa figisu na hila Kama kawaida yake
FASTJET lilikuwa shirika la wezi na mafisadi akina MASHA na wenzao .Walilileta geresha tu wakwapue pesa maeneo mengine wakidakwa wasingizie biashara ya ndege!!
 
AULI MPYA ZILIZOPANGWA NA SUMATRA ZA MABASI YA KWENDA MIKOANI KUTOKEA DAR: BEI ZOTE NI KWA SHILINGI YA TANZANIA.

DAR - ARUSHA = Basi la kawaida 22,700/=, Semi luxury bus 32,800/=, Luxury bus 36,000/=

DAR - BABATI via ARUSHA = Basi la kawaida 29,000/=, Semi luxury bus 41,800/=, Luxury bus 45,900/=

#DAR - BUKOBA via DODOMA = Basi la kawaida 55,100/=, Semi luxury bus 77,300/=, Luxury bus 85,000/=

DAR - DODOMA = Basi la kawaida 16,700, Semi luxury bus 24,100/=, Luxury bus 26,400/=

DAR - IRINGA = Basi la kawaida 18,300/=, Semi luxury bus 26,300/=, Luxury bus 28,900/=

DAR - KIGOMA = Basi la kawaida 58,800/= Semi luxury bus 80,900/=, Luxury bus 88,900/=

DAR - LINDI = Basi la kawaida 17,800/= Semi luxury bus 24,400/=, Luxury bus 26,800/=

DAR - MBEYA = Basi la kawaida Basi la kawaida 30,700/=, Semi luxury bus 44,300/=, Luxury bus 48,700/=

DAR - MOROGORO = Basi la kawaida 7,100/=, Semi luxury bus 10,300/=, Luxury bus 11,300/=

DAR - MOSHI = Basi la kawaida 19,800/=, Semi luxury bus 28,500/=, Luxury bus 31,300

DAR - MTWARA = Basi la kawaida 21,500/=, Semi luxury bus 29,700/=, Luxury bus 32,600/=

DAR - MUSOMA kupitia DODOMA = Basi la kawaida 50,800/=, Semi luxury bus 73,200/=, Luxury bus 80,500/=

DAR - MWANZA kupitia DODOMA = Basi la kawaida 42,600/=, Semi luxury bus 61,400/=, Luxury bus 67,500/=

DAR - SHINYANGA = Basi la kawaida 36,600/=, Semi luxury bus 52,700/= Luxury bus 57,900/=

DAR - SINGIDA kupitia DODOMA = Basi la kawaida 25,500/=, Semi luxury bus 36,800/=, Luxury bus 40,400/=

DAR - SONGEA = Basi la kawaida 35,000/=, Semi luxury bus 50,600/=, Luxury bus 55,500/=

DAR - SUMBAWANGA = Basi la kawaida 45,100/=, Semi luxury bus 62,100/=, Luxury bus 68,200/=

DAR - TABORA = Basi la kawaida 39,000/=, Semi luxury bus 54,700/=, Luxury bus 60,100/=

DAR - TANGA = Basi la kawaida 12,800/=, Semi luxury bus 18,500/=, Luxury bus 20,300/=

DAR - KIBAHA = Basi la kawaida 1000/=, Semi luxury bus 1,500, Luxury bus 1,600
 
ndege kanda ya ziwa zinabeba samaki kupeleka ulaya na abiria wanaozipanda hubeba samaki kibao wa mwanza kuja nao Dar es salaam mbona kule anazipiga vita wakati ndege huwasaidia soko la samaki zao watu walioko kule ambao wengi ni wavuvi na wafanyabiashara za samaki?

Taabu ilani yao iliandikwa ulaya sasa muda unayoyoma ndio akili zinaanza kumrudia!!

Anakumbuka shuka wakati kumekucha!!!
Okay hebu niwekee balance sheet hapa ya ATCL ya last financial year tuichambue kwa pamoja tuone kama tutakaa tufaidike na hiyo midege.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom