Iko TRENI wewe acha uzushi.Halafu toka Mombo hadi dar unafika mchana kweupe ukitaka usiku panda treni.Huelewi hata kinachoendelea nchi hii uko gizani kabisa.Uchumi wa Mombo umeuliwa na CCM kufungia Mabasi kusafiri Usiku
Badala ya kudhibiti Majambazi wanawazuia Wananchi wasisafiri Usiku
hueleweki umeandika nini hapaMimi imeuwawa baada ya Marufuku ya Mabasi kutembea Usiku
Mombo imeuwawa baada ya Marufuku ya Mabasi kutembea usikuhueleweki umeandika nini hapa
ndege kanda ya ziwa zinabeba samaki kupeleka ulaya na abiria wanaozipanda hubeba samaki kibao wa mwanza kuja nao Dar es salaam mbona kule anazipiga vita wakati ndege huwasaidia soko la samaki zao watu walioko kule ambao wengi ni wavuvi na wafanyabiashara za samaki?
Taabu ilani yao iliandikwa ulaya sasa muda unayoyoma ndio akili zinaanza kumrudia!!
Anakumbuka shuka wakati kumekucha!!!
Ona utapeli wa Lisu si alisema hahitaji maendeleo ya vitu?
Kama kwenye mikutano yake inajumuhisha maelfu ya wasikilizaji,ilhali anahubiri matusi basi wanaomsikiliza wanayapenda matusi.Lissu keshapoteza sifa za kuwa Rais wa nchi hii.
Mizunguko yote anatukana tu.
Wewe ndo huelewi na hutaacha kuweweseka! Hapo amesema maendeleo ya watu, kwamba kwa Mombo jambo la msingi ni maji na siyo ndege! Anacho Sema Lissu ni, vipaumbele, mfano; Chato wanaitaji maji na siyo uwanja wa ndege au uwanja wa mpira!!Ona utapeli wa Lisu si alisema hahitaji maendeleo ya vitu?
Walipowavurugia mfumo wa elimu mbebaki kuhitimu na vichwa vitupu havina kitu..hata huelewi kiancxhozungumzwa kwenye tofauti ya maendeleo ya vitu!Ona utapeli wa Lisu si alisema hahitaji maendeleo ya vitu?
Hebu taja matusi anayotukana.Lissu keshapoteza sifa za kuwa Rais wa nchi hii.
Mizunguko yote anatukana tu.
Masikio yako pekee ndio yanayosikia hayo matusi.Lissu keshapoteza sifa za kuwa Rais wa nchi hii.
Mizunguko yote anatukana tu.
Ww akili ndogo tuliaOna utapeli wa Lisu si alisema hahitaji maendeleo ya vitu?
Wacha uongo.. Kuna bombardier yoyote inapeleka samaki ulaya?!ndege kanda ya ziwa zinabeba samaki kupeleka ulaya
kaipande toka mwanza uone watu wanavyobeba samaki.Ndege zinazopeleka samaki kwa sasa ni za mizigo za Rwanda na za ulaya.Sasa ukimwambia msukuma ndege hazina faida wakati anaziona zinabeba samaki kupeleka ulaya na Magufuli kaahidi kununua ndege za mizigo ili ziwe zetu ndio zinabeba wanakuona mjinga tuWacha uongo.. Kuna bombardier yoyote inapeleka samaki ulaya?!