Narumu newz
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,319
- 4,961
Mh. Tundu Antipas Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, ndiye mpinzani wa kweli nchini Tanzania.
Serikali ya awamu ya tano (5) chini ya Rais Magufuli, lilitokea jaribio la kutaka kumuua baada ya kushambuliwa kwa risasi akiwa eneo la makazi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.
Na hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na Serikali ya CCM.
Serikali ya awamu ya tano (5) chini ya Rais Magufuli, lilitokea jaribio la kutaka kumuua baada ya kushambuliwa kwa risasi akiwa eneo la makazi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma.
Na hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na Serikali ya CCM.