Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,198
Kiukweli sijawahi kuleta mada ya mapenzi/Mahusiano humu ila Leo imenibidi nilete tu. Unajua katika mihangaiko yangu ya kazi nilibahatika kumpata demu flani hivi,
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga, nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule mwanamke akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na hata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na nyege kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana mume wake kwa kutomrizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu JF wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya mavazi, kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB; kijana mwenzangu bachelor kama mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu?
Kiufupi ni mzuri na ni mtu wa Tanga, nilijiona mwenye bahati kukubaliwa na huyo mtoto kwa sababu nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke kutoka Tanga ili nisibitishe ule msemo wao pendwa wa mapenzi Tanga ndio yalipozaliwa.
Mwanzo tu wa mahusiano aliniambia kwamba ameolewa na amejaliwa kupata mtoto mmoja na kwa kuwa mimi nilihitaji tu nitimize azma yangu basi tukapanga siku ya kufanya kile kitendo pendwa kinachoitwa tendo la ndoa.
Basi siku ya siku ikafika bhana na haikuwa mbali ilikuwa ni juzi kati tu basi tukafika lodge na kuchukua Self Room.
Katika harakati zetu zile mi mtoto wa kiume nikamfanyia viutundu kidogo mtoto kalewa nikajilia vyangu kiulaini.
Sasa wakati nipo mapumziko huku tunapiga story kidogo ili niendelee na game kufunga la 4 kidogo yule mwanamke akawa ananiambia uanaume si ndio huu bhana siyo yule aliyenioa akifika nyumbani usiku anapiga kimoja tu na hata dakika hachukui anamaliza ananalala zake ananiacha na nyege kibao.
Katika kumdodosa dodosa yule mwanamke muda mwingi alikuwa anamponda sana mume wake kwa kutomrizisha mpaka analaumu kwamba yeye ndio sababu ya kumcheat.
Huyu mwanamke tangu nipige nae lile game amekuwa ni wa kuniganda mpaka kuna muda naona kero.
Jamani kama wewe umeoa na huko humu JF wahudumieni vizuri wake zenu wa ndoa siyo huduma ya mavazi, kula na vitu vingine vya thamani ni hile huduma muhimu ya tendo la ndoa.
NB; kijana mwenzangu bachelor kama mimi we unakutana na yapi kwa hao wake za watu?