Tunawashukuru watu waliojitokeza katika uzinduzi wetu

Tunawashukuru watu waliojitokeza katika uzinduzi wetu

Siasa za Zitto zinaleta maswali mengi
anakataa posho halafu anaomba kuchangiwa
hili la posho kama atapata wabunge basi kuwaambia wakatae posho litazua bonge la mgogoro

na haijulikani hasa source ya pesa zao iko wapi

Nakubaliana na wewe mkuu, kwenye vyanzo vya pesa hakuna chama kitakachokuambia ukweli,

Ni mara ngapi tumelalamikia juu ya wizi wa fedha za uma (CCM) inapokaribia uchaguzi?

CDM kila siku tunauliza hela ya Sabodo ya visima imeenda wapi?
 
Siasa za Zitto zinaleta maswali mengi
anakataa posho halafu anaomba kuchangiwa
hili la posho kama atapata wabunge basi kuwaambia wakatae posho litazua bonge la mgogoro

na haijulikani hasa source ya pesa zao iko wapi

ACT imejengwa katika utatu huu, Zitto, Kitila na Mwigamba, sawa na vyama vingine vya Tanzania. Mwenyekiti ni supreme leader, he/she can't be challenged. Na vyama vyetu vinajengwa katika mfumo huo kwa sababu wanasiasa wetu hawapendi kuwajibika kisiasa endapo watavuruga chochote. Ile sentesi ya kila mwanachama ana haki ya kuchagua/kuchaguliwa huwa inasiginwa sana. Kuhusu pesa hata mie napata mashaka sana.
 
Yaani nilikuwa namuamini Sana zitto na nilikuwa niwape ACT wazalendo kura yangu ila kwa siasa za Jana za matusi na kuponda upinzani, bora kufa kuliko kuwachagua wanafki ACT wazalendo
 
Jipangeni kwa msimu mwingine ujao, kwa sasa ushiriki wenu ni kama sehemu ya demokrasia. Jana bahati mbaya sana Campaign Manager wenu (sikumbuki jina lake) alianza kwa matusi sana. Watu wenye akili zetu hatuhitaji kusikiliza matusi, tunahitaji kusikia vitu vya maana pamoja na sera. ZZK Ulifanya kitu cha maana to clear it out kwa kuomba msamaha. It should be a lesson kwake, hopefully hatarudia.

Atarudia tu yule kijana nimewahi ona mijadala inayomhusisha ana machngu sana ya kufukuzwa CHADEMA. Kwake cdm ni kero zaidi ya hao wanaotawala
 
Yaani nilikuwa namuamini Sana zitto na nilikuwa niwape ACT wazalendo kura yangu ila kwa siasa za Jana za matusi na kuponda upinzani, bora kufa kuliko kuwachagua wanafki ACT wazalendo

Nani siyo mnafiki kwenye siasa?

Kwenye siasa zetu kila mmoja ni mnafiki,

Kila siku CCM wanarudia yale yale kwenye kampeni zao, tena wakijua kwamba hawatayatekeleza!

Hawa CCM kila siku wanatuibia na wanalindana kupita maelezo, ila eti utakuta katibu mkuu anakemea rushwa!

CDM: Ni mara ngapi wametuaminisha kwamba Lowassa ni Fisadi? Lakini leo huyu ndiye mgombea wao!

Zitto hana tofauti na wanasiasa wengine, ni mwongo kama wao, ni mnafiki kama wao na ni mchumia tumbo kama wao!

Kila mwanasiasa yuko kwa ajili ya kujineemesha, kukuza mtaji, kujilimbikizia mali na kuhakikisha anazilinda!
 
Back
Top Bottom