Tunawashukuru Marekani kwa kusimama na Watanganyika. Iwapendeze tu mfanye Military Intervention kuwakomboa Watanganyika

Tunawashukuru Marekani kwa kusimama na Watanganyika. Iwapendeze tu mfanye Military Intervention kuwakomboa Watanganyika

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Appreciation Post kwa Marekani.

Kusema ukweli Watanganyika tunatawaliwa kwa nguvu na CCM.

Imefika wakati sasa maisha yetu yako mikononi mwa CCM na sio Mungu tena. Wanatuteka, Wanatuua, Wanatufungulia kesi za Uongo, Wanatushikiria kwenye Magereza na vituo vya polisi bila kuwepo na kesi dhidi yetu.

Kwa sasa Tanganyika Wananchi hatuko huru. Imefika hatua hata kama kuna huduma mbovu zinatolewa na Serikali huwezi kusema chochote maana utakapojaribu kutoa mawazo yako au kukosoa utatekwa na kupotezwa kama sio kufunguliwa kesi za uongo na kuozea gerezani.

Imefika hatua sasahivi thamani ya utu wa mwananchi haipo Tanganyika. Chaguzi zinaendeshwa kama kiini macho cha demokrasia. Wananchi hatuwezi kuwachagua Viongozi tunaowataka watuongoze na hatuwezi kuwawajibisha pale inapobidi wawajibishwe.

Imefika hatua wizi na ufisadi ni alama ya weredi hapa Tanganyika. Ukiwa mwizi na fisadi ndo unafisiwa, ndo unaabudiwa ndo unaonekana wewe ni mtu wa maana kwenye jamii. Hatuna Taasisi Tanganyika, hatuna uwajibikaji Tanganyika. Hakuna tena dhana ya kusimamia kwa uzalendo maslahi ya Wananchi kwa faida yao.

Tunaongozwa na wezi walioiba uchaguzi na wanaolazimisha kututawala kwa nguvu. Walio tayari kutuua na kutupoteza ili kulinda maslahi yao binafsi.

Uchawa ndo ajira yao rasmi. Badala wafanye jitihada kuwajaza vijana maarifa ili walete mabadiliko chanya kwa jamii wanawanyima vijana hizo fursa adhimu na wanawafanya kuwa machawa wao. Kuwalamba miguu na kuwasifia mitandao masaa 24.

Watanganyika tunapenda kuwashukuru sana Marekani kwa namna mnavyosimama kuwasema hawa kina Samia na CCM yao.

Tunajua kuwasema pekee haitoshi. Dunia ilipofika bila kuchukua hatua kama mnazochukua Venezuela itaenda kuwa sehemu mbaya sana ya kuishi na kwa maisha ya binadamu.

Tunaomba mfanye kama mlivyofanya kwa Makabulu wa Afrika Kusini hadi walipoona Dunia yote haipo upande wao na kuamua kuwaachia Wananchi wa Afrika kusini.

Tunaomba muwaweke Samia na Wakuu wake wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye orodha ya Watu hatari sio tu kwa Watanganyika na Marekani bali kwa Dunia nzima.

Tunaomba mkiweke CCM kuwa kama kikundi cha kigaidi kwa namna kinavyoendesha operesheni kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania kuwaua, kuwateka na kuwapoteza wananchi wanaokosoa Serikali yao dhalimu.

Tunaomba muilazimishe jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua kali sana dhidi ya Samia na genge lake ikiwemo kuvichukulia pia vyombo vya Ulinzi vya Tanganyika hasa TISS, JWTZ na Polisi kama vikundi vya kigaidi.

Mwisho tunaomba iwapendeze mfikirie kuchukua hatua mnazochukua Venezuela kwa Tanganyika ( Tanzania) ili kutukomboa sisi Watanganyika dhidi ya hawa Mashetani CCM na Serikali yao.

Mungu awabariki Marekani.

Mungu ibariki Tanganyika.
 
Kuchanganyikiwa huanza taratibu, ukiwa na matamanio unatakiwa kuwa na kiasi, vinginevyo matamanio yako yakishindikana, unaweza kupata tatizo la afya ya akili bila kujijua, kuna wadau wanatakiwa kupatiwa msaada wa kisaikolojia kabla hali haijawa mbaya zaidi📍
 
Kuchanganyikiwa huanza taratibu, ukiwa na matamanio unatakiwa kuwa na kiasi, vinginevyo matamanio yako yakishindikana, unaweza kupata tatizo la afya ya akili bila kujijua, kuna wadau wanatakiwa kupatiwa msaada wa kisaikolojia kabla hali haijawa mbaya zaidi📍
Mada kubwa kama hizi uwe unapita nazo pembeni tu.
 
Appreciation Post kwa Marekani.

Kusema ukweli Watanganyika tunatawaliwa kwa nguvu na CCM.

Imefika wakati sasa maisha yetu yako mikononi mwa CCM na sio Mungu tena. Wanatuteka, Wanatuua, Wanatufungulia kesi za Uongo, Wanatushikiria kwenye Magereza na vituo vya polisi bila kuwepo na kesi dhidi yetu.

Kwa sasa Tanganyika Wananvhi hatuko huru. Imefika hatua hata kama kuna huduma mbovu zinatolewa na Serikali huwezi kusema chochote maana utakapojaribu kutoa mawazo yako au kukosoa utatekwa na kupotezwa kama sio kufunguliwa kesi za uongo na kuozea gerezani.

Imefika hatua sasahivi thamani ya utu wa mwananchi haipo Tanganyika. Chaguzi zinaendeshwa kama kiini macho cha demokrasia. Wananchi hatuwezi kuwachagua Viongozi tunaowataka watuongoze na hatuwezi kuwawajibisha pale inapobidi wawajibishwe.

Imefika hatua wizi na ufisadi ni alama ya weredi hapa Tanganyika. Ukiwa mwizi na fisadi ndo unafisiwa, ndo unaabudiwa ndo unaonekana wewe ni mtu wa maana kwenye jamii. Hatuna Taasisi Tanganyika, hatuna uwajibikaji Tanganyika. Hakuna tena dhana ya kusimamia kwa uzalendo maslahi ya Wananchi kwa faida yao.

Tunaongozwa na wezi walioiba uchaguzi na wanaolazimusha kututawala kwa nguvu. Walio tayari kutuua na kutupoteza ili kulinda maslahi yao binafsi.

Uchawa ndo ajira yao rasmi. Badala wafanye jitihada kuwajaza vijana maarifa ili walete mabadiliko chanya kwa jamii wanawanyima vijana hizo fursa adhimu na wanawafanya kuwa machawa wao. Kuwalamba miguu na kuwasifia mitandao masaa 24.

Watanganyika tunapenda kuwashukuru sana Marekani kwa namna mnavyosimama kuwasema hawa kina Samia na CCM yao.

Tunajua kuwasema peked haitoshi. Dunia ilipofika bila kuchukua hatua kama mnazochukua Venezuela itaenda kuwa sehemu mbaya sana ya kuishi na kwa maisha ya binadamu.

Tunaomba mfanye kama mlivyofanya kwa Makabulu wa Afrika Kusini hadi walipoona Dunia yote haipo upande wao na kuamua kuwaachia Wananchi wa Afrika kusini.

Tunaomba muwaweke Samia na Wakuu wake wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye orodha ya Watu hatari sio tu kwa Watanganyika na Marekani bali kwa Dunia nzima.

Tunaomba mkiweke CCM kuwa kama kikundi cha kigaidi kwa namna kinavyoendesha operesheni kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania kuwaua, kuwateka na kuwapoteza wananchi wanaokosoa Serikali yao dhalimu.

Tunaomba muilazimishe jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua kali sana dhidi ya Samia na genge lake ikiwemo kuvichukulia pia vyombo vya Ulinzi vya Tanfanyika hasa TISS, JWTZ na Polisi kama vikundi vya kigaidi.

Mwisho tunaomba iwapendeze mfikirie kuchukua hatua mnazochukua Venezuela kwa Tanganyika ( Tanzania) ili kutukomboa sisi Watanganyika dhidi ya hawa Mashetani CCM na Serikali yao.

Mungu awabariki Marekani.

Mungu ibariki Tanganyika.
Ondoa wazo kwamba Mmarekani anasimama na wewe.

Mmarekani anasimama na interests zake.

Wewe ukiwa upande wa interests zake atasimama na wewe.

Vinginevyo unaweza kufikiri kasimama na wewe, halafu kesho ukamuona anasaini mikataba na Samuya hapa.
 
Ondoa wazo kwamba Mmarekani anasimama na wewe.

Mmarekani anasimama na interests zake.

Wewe ukiwa upande wa interests zake atasimama na wewe.

Vinginevyo unaweza kufikiri kasimama na wewe, halafu kesho ukamuona anasaini mikataba na Samuya hapa.
Hadi hapa Marekani anastahili pongezi.

Hakuna walichosema Marekani kuhusu Samia ambacho ni cha uongo hadi sasa.

Wamesema kuhusu kufanya persecution ya Viongozi wa kikristo na hiyo ni kweli na sahihi. Samia anatisha Wachungaji, Makasisi, Mapadre na Maaskofu. Anaamuru watekwe, wabakwe na wadharirishwe

Samia anapandikiza mbegu ya udini. Na katuma Masheikh wake kumsema wazi na kweupe kabisa Nchimbi. Hili kila mtu ameliona.

Samia anaua Watanganyika bila hofu. Ana amuru watekwe, wawekwe magerezani na kufanyiwa mambo mabaya.

Uzuri utawala wa Trump umejiweka wazi kuwa haupo radhi kuona Wakristo wanaonewa. Nina uhakika kwa mbegu za udini anayopandikiza Samia, na kwa namna anavyowanyanyasa Wakristo hasa Wakatoliki kamwe utawala wa Trump hauwezi kwenda nae sawa.
 
Hadi hapa Marekani anastahili pongezi.

Hakuna walichosema Marekani kuhusu Samia ambacho ni cha uongo hadi sasa.

Wamesema kuhusu kufanya persecution ya Viongozi wa kikristo na hiyo ni kweli na sahihi. Samia anatisha Wachungaji, Makasisi, Mapadre na Maaskofu. Anaamuru watekwe, wabakwe na wadharirishwe

Samia anapandikiza mbegu ya udini. Na katuma Masheikh wake kumsema wazi na kweupe kabisa Nchimbi. Hili kila mtu ameliona.

Samia anaua Watanganyika bila hofu. Ana amuru watekwe, wawekwe magerezani na kufanyiwa mambo mabaya.

Uzuri utawala wa Trump umejiweka wazi kuwa haupo radhi kuona Wakristo wanaonewa. Nina uhakika kwa mbegu za udini anayopandikiza Samia, na kwa namna anavyowanyanyasa Wakristo hasa Wakatoliki kamwe utawala wa Trump hauwezi kwenda nae sawa.
Soma hapa kwa muktadha mzudi zaidi.


View: https://x.com/i/status/1998627465585954890
 
Uzuri wewe ndo unathibitisha vizuri sana kuwa umechanganyikiwa.
Na kwa taarifa yako mm sina id mbili au id fake...nina id moja tu na hilo ndio jina langu halisi..nipo hapa dsm na kila jumapili nasali kanisa anglikana mtakatifu albano..njoo utanipata nipo kwa jina langu hilo hilo

WE ENDELEA KUCHANGANYIKIWA MAANA NI MUDA WAKO UMEFIKA HATUWEZI KUUZUIA
 
Utaelewa tu. Naona una kichwa kigumu.
Nitaelewa nini?

Umesoma hiyo tweet?

Una point ya ku argue badala ya a vague "utaelewa tu"?

Samia akisaini mikataba ya biashara na hao Wamarekani kesho utasemaje?

Utakuja kulialia hapa Wamarekani wamekusaliti kama sijakuambia hili linakuja?

Yani wewe huoni hiki linakuja halafu hujioni una kichwa kigumu?

Una kichwa kigumu mpaka hujui kuwa una kichwa kigumu?
 
Nitaelewa nini?

Umesoma hiyo tweet?

Una point ya ku argue badala ya a vague "utaelewa tu"?

Samia akisaini mikataba ya biashara na hao Wamarekani kesho utasemaje?

Utakuja kulialia hapa Wamarekani wamekusaliti kama sijakuambia hili linakuja?

Yani wewe huoni hiki linakuja halafu hujioni una kichwa kigumu?

Una kichwa kigumu mpaka hujui kuwa una kichwa kigumu?
Umesoma statement ya Forein Senate Committee waliyotoa jana/juzi?
 
Umesoma statement ya Forein Senate Committee waliyotoa jana/juzi?

Statement ni diplomasia tu. Unaweza kupigwa statements nyingi bila mabadiliko yoyote.

Huku Marekani kwenyewe tushazoea kila siku statements nyingi za "hope and prayers" lakini watu wanauawa kwa mass shootings bila mabadiliko yoyote kwenye gun violence kwa sababu ya biashara. The gun lobby ensures you get the eight statements with no significant change.

Huelewi wapi?

Yani statements za Marekani ndiyo zinakulevya?

Mbona unakuwa huijui dunia hivi?

Statement nimeisoma, swali ni kwamba, wewe umeielewa?
 
Statement ni diplomasia tu. Unaweza kupigwa statements nyingi bila mabadiliko yoyote.

Huku Marekani kwenyewe tushazoea kila siku statements nyingi za "hope and prayers" lakini watu wanauawa kwa mass shootings bila mabadiliko yoyote kwenye gun violence kwa sababu ya biashara. The gun lobby ensures you get the eight statements with no significant change.

Huelewi wapi?

Yani statements za Marekani ndiyo zinakulevya?

Mbona unakuwa huijui dunia hivi?

Statement nimeisoma, swali ni kwamba, wewe umeielewa?
Sawa

Tutakuwepo.
 
Back
Top Bottom