miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,072
- 1,021
Habari wana Jamii forums, nilikuwa naomba mawazo yenu namna nitakavowqshauri hawa Vijana yatima. Ipo hivi kuna kijana ni wa mwisho kuzliwa kwao, wazazi wake walimuacha akiwa fomr one walifariki kwa HIV positive.
Familia hizi ni zile kila familia wanajijua wao yaani baba mkubwa na watoto hajali familia ya ba mdogo, kila familia wanapambana kivyao, sasa hawa walikuwa ni majirani zetu, huyo kijana alivyoachwa na wazazi, baba alimuacha darasa la sita na mama anakamuacha form one, sasa akawa anafanya vibarua ndiyo anasoma, kasoma shule ya kata bahat nzuri vijana hawa walikuwa bright darasani.
Dadake 1 alivoona maisha magumu alianza kujiuza, hivi huyu kijana wa kiume alipambana akapata two ,akapangiwa A-Level masomo ya arts, akapata two akomba duce ualimu kote huko alikuwa anafanya vibarua no one care about him, alivokuwa anaomba chuo nilimwambia ambatanishe death certificate, akapata mkopo 100% kwa kweli kijana ile hela aliliitimia vizuri akanunua mpka kiwanja kijijini kwa kujibana, alimaliza chuo 2015 mpaka leo anahangaika ajira ya ualimu.
Nawaza ni nani atakaemsaidia huyu kijana atoboe ukiangalia amekua kwa mazingira magumu bado ajira akiomba anatemwa yaani amekata tamaa, nilimpa laki 4 kama mtaji anapambana mdogomdogo.
Wanajamii Forums namsaidiaje huyu kijana? Naomba mawazo yenu
Familia hizi ni zile kila familia wanajijua wao yaani baba mkubwa na watoto hajali familia ya ba mdogo, kila familia wanapambana kivyao, sasa hawa walikuwa ni majirani zetu, huyo kijana alivyoachwa na wazazi, baba alimuacha darasa la sita na mama anakamuacha form one, sasa akawa anafanya vibarua ndiyo anasoma, kasoma shule ya kata bahat nzuri vijana hawa walikuwa bright darasani.
Dadake 1 alivoona maisha magumu alianza kujiuza, hivi huyu kijana wa kiume alipambana akapata two ,akapangiwa A-Level masomo ya arts, akapata two akomba duce ualimu kote huko alikuwa anafanya vibarua no one care about him, alivokuwa anaomba chuo nilimwambia ambatanishe death certificate, akapata mkopo 100% kwa kweli kijana ile hela aliliitimia vizuri akanunua mpka kiwanja kijijini kwa kujibana, alimaliza chuo 2015 mpaka leo anahangaika ajira ya ualimu.
Nawaza ni nani atakaemsaidia huyu kijana atoboe ukiangalia amekua kwa mazingira magumu bado ajira akiomba anatemwa yaani amekata tamaa, nilimpa laki 4 kama mtaji anapambana mdogomdogo.
Wanajamii Forums namsaidiaje huyu kijana? Naomba mawazo yenu