Wewe ni utopolo unawakilisha utopolo wenzako watu wa msimbazi hawawezi kua na akili za namna hiiChonde chonde GSM, Eng Hersi na wana uto wote, tuachieni Chama wetu kama kisasi ni Morrison sisi tutawarudishia na tutawapa Ajibu kama nyongeza.
Kinachoendelea huko Istagram kinatuumiza sisi mashabiki.
Boss MO tafadhali ingilia kati hili suala.
Chonde chonde GSM, Eng Hersi na wana uto wote, tuachieni Chama wetu kama kisasi ni Morrison sisi tutawarudishia na tutawapa Ajibu kama nyongeza. Kinachoendelea huko Istagram kinatuumiza sisi mashabiki. Boss MO tafadhali ingilia kati hili suala.
mimi ni shabiki wa kugala gala wa deportive de utopolo nasemaje nyie simba ni chuo cha soka ila tukutane oct 18 mfumo tutakao cheza ni 4:4:2 diamond, mbele tukiwa na super striker kuwahi kutokea tz SENZO MBATHA MASINGISA
We jamaa umelewa maharage umesoma alicho andika kwenye post ya chini..Hee! Leo umekuwa Simba? Ngoja nikuumbue kuwa wewe ni Utopolo. Post yako hii hapa chini nimeitoa mahali
Umekurupuka mkuu, hiyo post uliyoileta kama uthibitisho ama ushahidi upo dhahiri kabisa hapo kuwa huyo ni mwana msimbazi mwenzenu na kaandika kuwadhihaki Yanga. Shabiki wa Yanga hawezi sema yeye ni utopoloHee! Leo umekuwa Simba? Ngoja nikuumbue kuwa wewe ni Utopolo. Post yako hii hapa chini nimeitoa mahali
Hilo jina la utopolo lililetwa na shabiki wa utopolo huko huko... huyo ni mwana msimbazi mwenzenu na kaandika kuwadhihaki Yanga. Shabiki wa Yanga hawezi sema yeye ni utopolo
Shabiki wa Yanga anawezaje kusema kuwa top striker kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya Simba ni senzo?Hilo jina la utopolo lililetwa na shabiki wa utopolo huko huko
Duuuh hatari Sana 😋😋😋😋Mukoko tonombeView attachment 1624896