Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Dah... Asante sana kwa Uzi mororo....mie kuna mdada nimemuomba kitu humu...mwaka wa 7 huu ananirusha...natumaini ataupitia huu Uzi...na kunitunuku...[emoji2960]Tunavyoweza kupeana tupeaneni ila tusipeane matatizo.Kama wewe mkaka kuna kitu unaweza kumpatia mdada mpatie,na wewe mdada kama unakitu cha kumpatia mkaka mpatie....ila kumbuka usimpatie matatizo.Tumeletwa duniani tufurahiane na baadaye turudi tusikokujua.