Tunauza panya

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534
Kwa mahitaji yako ya haraka ya panya waliokomaa weupe na weusi wasiliana nasi. Panya dume mpevu anapatikana kwa bei nafuu ya shilingi elfu tisa mia sita na thelathini tu (dola 4.29)

Zaidi ya panya unaweza kujipatia mjusi kwa bei nafuu kabisa ya laki moja thelathini na nne elfu mia sita na sabini (dola 59.99)

Kinyonga pia hupatikana kwa bei poa kabisa. Ni laki moja hamsini na saba elfu na mia moja ishirini na saba tu (dola 69.99)

Vicheche na nguchiro wanapatikana kwa oda maalumu. Wakati ndio huu wahi mapema bei za sikukuu na mwisho wa mwaka hizo.










Usafirishaji na kodi ni juu ya mnunuzi.
 
Daah haya ni mapinduzi makubwa sana katika sekta ya biashara.Hii itaendeleza pia sekta yetu ya UTAFITI na tunakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Hofu yangu wasije kununuliwa na wamakonde chale aseee
 
Wale wanaofuga nyoka kama pet watafurahi sana
 
Kwa ajili ya kazi gani hao wadudu???
 
Kwa ajili ya urembo nahisi na kutumbua majipu
Pamoja na tafiti mbalimbali.
Shuleni tulipasua panya na vyura kwa sana.
Hospitalini wanatumika katika majaribio ya dawa na kinga mbalimbali.
Hata mbu wana soko ukifuga kwa wingi.
Kazi njema
 
Hao panya weupe kazi yao nn na bado wanapatikana???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…