Pia ni red au white?Mko dodoma sehemu gani na wine mnayotengeneza ni Sweat au Dry
Tuko mpunguzi 25km from Dodoma town..dry wine,red
Niko Dodoma kwa siku mbili kuanzia leo nahitaji dumu la Lita tano naweza kupata?[/QUO
Sisi hatufanyi packaging ila tunawauzia wanao Fanya packing tunauza in bulkyMkuu tupia packaging zenu tuone, inaweza ikawa fursa hiyo
Wine zinauzwa bei kubwa Lindi/ mtwara
Au niemail kupitia sales2@ipl.co.tzKwaajili ya sticker na vifungashio usisite wasiliana nami kupitia 0685065905 (ipl.co.tz)
Ah! Kumbe ni ulevi, wauzie walevi hawahapa Mada maalum ya walevi na wanywa pombe - JamiiForumsAlcohol level 11.5%,tulivuna zabibu zikiwa na sugar content 25% brix..karibu