Tunauza magari kwa mkopo nafuu

Tunauza magari kwa mkopo nafuu

iPhone 6

Senior Member
Joined
Aug 8, 2020
Posts
104
Reaction score
153
🔹 Magari mapya na yaliyotumika kutoka ndani na nje ya nchi
🔹 Marejesho nafuu hadi miezi 24
🔹 Mkopo wa hadi 65% ya gharama ya gari
🔹 Mkopo unaidhinishwa ndani ya saa 72
🔹 Riba ni ya kiwango cha chini kabisa
🔹 Huduma ni Haraka, Rahisi na hadi mlangoni kwako!

Usikose fursa hii ya kipekee miliki gari unalolitamani kwa masharti mepesi kabisa!

Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi:
0653 796 351

LOLC TANZANIA – Tunakufanikishia ndoto zako za kumiliki gari kwa urahisi!

images (1).jpeg
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    13.6 KB · Views: 20
Toyota auris napata kwa bei gani ya 2015
Mkuu huduma zetu mteja anapata mkopo mpaka nusu ya gharama ya gari husika na yeye analipia nusu. Nimeweka mawasiliano kama utahitaji mahesabu ya gharama na kila kitu.
 
Haya mambo ya kuvutana chemba mkuu.

Mnayo kwanza? Au mtaagiza?
Mkuu gari ipo lakini pia kama unaona shida kunitafuta kwa namba ya simu nmetoa unaweza fika ofisini kwetu nmetoa location hapo kwenye tangazo au kama pia utakosa imani basi hachana nayo tu tafuta option nyingine utaona kwako inakupa amani.
 
Mkuu Nina 5M siwezi pata Carina good condition..?
Tuna gari used za ndani ya nchi na nje pia gari mpya na sisi tuna deal na kukopesha so unaweza ukawa na hiyo 5M tukakogezea pesa nyingine ikafikia thamani ya gari unayoitaka.
 
Nahitaji ka scarlet glanza kalichonyooka, nimeona bei zake mitandaoni ni around 2m hadi 4, naweza kulipia nusu na nyingine nikalipa kwa installment, are you ready?
 
Back
Top Bottom