Over the hedge
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 143
- 162
Hivi ile picha yako tukiweka hapa nan ataonekana shg 😂Ww n shg
Hivi ile picha yako tukiweka hapa nan ataonekana shg 😂Ww n shg
Mkuu kwani wale jamaa ulishindwa kuwalipa deni lao mpaka ukauza gari yako?Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760, 0755984282
View attachment 1661634View attachment 1661635
Wewe jamaa huo mwandiko wako nina mashaka na ...!Utajua tu siku moja kwann siuzi tail shule ila zimefungwa huwa Kuna yabu Sana jf
Kauze kwa kilo kwa wanunua skrepa, elfu tisa hukosiKelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760, 0755984282
View attachment 1661634View attachment 1661635
Kukosolewa lazima hutaki hama JF kakae chatoAsante nimesha uza kwa wale mlio nitukana na kunikejeli pia nawashukuru Sana mungu hswabariki na pia wale walio nisaidia kuwa jibu walio kuwa wakinitukana najalibu kuwaomba matusi ayajibiwi na matusi asanteni Sana nawale walimu wangu wakiswahil wanao nisahisha nawashukuru pia siwengine hatukusoma km nyie mlio soma shukran
0712690760 mil 6.9
: Petrol"”"Automatic:::
Mil : 6.9
0712690760/0755984282
0712690760 mil 7
: Petrol "Automatic
Mil : 7
0712690760/0755984282
0712690760 mil 7
: Petrol"”"Automatic:::
Mil : 7
0712690760/0755984282View attachment 1696911View attachment 1696912View attachment 1696915View attachment 1696913View attachment 1696914View attachment 1696916
Acha wizi wewe hiyo gari nimeikuta Instagram inauzwa mil 5.5 lakini wewe unauza mil 7
Hivi watanzania kwanini tunapenda ujanja hivi,ata Kama maisha ni kutegemeana sio kwa style hii😆😆😆😆😆View attachment 1697962