Tunauza Batiki 12,000/=

Kafiti

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
538
Reaction score
220
Mamy Batiki Suppliers
Ni watengenezaji na wasambazaji wa batiki nzuri isiyokakamaa wala kuchuja, kitambaa Chake ni kizuri na chenye ubora zaidi.
Inapatikana kwa ukubwa wa piece Moja na nusu kwa tzs 12000 kwa pair moja.
Kwa jumla kuanzia piece 5 ni tzs 10000 kwa pair.
Mawasiliano
0712128301
E-mail: mariammsuyah@gmail.com
Dar es Salaam, Mikoani unatumiwa.
 
Sijaelewa inamaana hizo piece zikiwa mbili ndo zinauzwa 12000 au?
 
Sijaelewa inamaana hizo piece zikiwa mbili ndo zinauzwa 12000 au?

Ni piece moja na nusu kwa 12000 kwa rejareja.

Piece moja na nusu ni ndiyo pair. Kwa hiyo ukinunua pair 5 utauziwa kwa elfu 10 kila moja bei ya jumla.
 
Ni piece moja na nusu kwa 12000 kwa rejareja.

Piece moja na nusu ni ndiyo pair. Kwa hiyo ukinunua pair 5 utauziwa kwa elfu 10 kila moja bei ya jumla.
[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Safi sana wewe umepanua biashara wenzio bado wanag'ag'ania wazungu wa slipway tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…