zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Asilimia 65%ya wamarekani wanaamini kuwa mwanadamu anatumia asilimia 10% tu ya akili yake.
Pamoja na mambo yote aliyofanya kama vile uvumbuzi wa satellite,simu za mkononi,vyombo vya usafiri,elimu unaweza sadiki kuwa mwanadamu anatumia asilimia 10%tu ya akili yake.
Wazungu hao hao wameendelea na kusema kuwa endapo binadamu akifinikiwa kutumia akili yake kwa asimia 100%ataweza Ku travel in future or past (time travelling)
Akili yake itaweza kuchukua maamuzi haraka kuchambua na kutafakari kwa spidi ya ajabu.
Je, unaweza kusadiki?
Pamoja na mambo yote aliyofanya kama vile uvumbuzi wa satellite,simu za mkononi,vyombo vya usafiri,elimu unaweza sadiki kuwa mwanadamu anatumia asilimia 10%tu ya akili yake.
Wazungu hao hao wameendelea na kusema kuwa endapo binadamu akifinikiwa kutumia akili yake kwa asimia 100%ataweza Ku travel in future or past (time travelling)
Akili yake itaweza kuchukua maamuzi haraka kuchambua na kutafakari kwa spidi ya ajabu.
Je, unaweza kusadiki?