Eugen TZA
Member
- Aug 7, 2023
- 61
- 98
Wahalifu wa kimtandao (Hackers) Inasemekana kuwa wamebuni mbinu mpya kupitia teknolojia ya akili bandia (AI) yenye uwezo wa kuiba nywila,(Password) za mtu kwenye simu au kompyuta kwa kusikiliza mlio wa Keyboard yako.
-
Watafiti kupitia chuo cha Cornell's University wameeleza kuwa kupitia teknolojia ya akili bandia wezi mtandao wanaweza kuiba password za mtu kwa mafanikio ya asilimia 95%, Modeli hiyo ina-focus na sauti inayotoka kwenye Keyboard tu.
-
Hii inamaanisha kuwa unaweza kuibiwa Password ukiwa Mubashara kupitia Zoom kama uta-type nywila yako kwa asilimia 93%, Katika mtandao wa Skype ni asilimia 91.7%, Na hii ni kwa Keyboard zote hata za kisasa, Hivi majuzi FBI walionya kuhusu uhalifu kufanyika kupitia ChatGPT.
-
Ikumbukwe kuwa jumuiya ya KIMATAIFA hivi karibuni walikutana kushauriana kuhusu namna bora ya ku-control teknolojia ya akili bandia (AI) kutokana na teknolojia hiyo kukua kwa kasi sana ikihofiwa kutumika vibaya katika uhalifu au kijeshi kupitia nyuklia huenda ikawa atari zaidi kwa binadamu.
-
#PeaceOverInterest
-
Watafiti kupitia chuo cha Cornell's University wameeleza kuwa kupitia teknolojia ya akili bandia wezi mtandao wanaweza kuiba password za mtu kwa mafanikio ya asilimia 95%, Modeli hiyo ina-focus na sauti inayotoka kwenye Keyboard tu.
-
Hii inamaanisha kuwa unaweza kuibiwa Password ukiwa Mubashara kupitia Zoom kama uta-type nywila yako kwa asilimia 93%, Katika mtandao wa Skype ni asilimia 91.7%, Na hii ni kwa Keyboard zote hata za kisasa, Hivi majuzi FBI walionya kuhusu uhalifu kufanyika kupitia ChatGPT.
-
Ikumbukwe kuwa jumuiya ya KIMATAIFA hivi karibuni walikutana kushauriana kuhusu namna bora ya ku-control teknolojia ya akili bandia (AI) kutokana na teknolojia hiyo kukua kwa kasi sana ikihofiwa kutumika vibaya katika uhalifu au kijeshi kupitia nyuklia huenda ikawa atari zaidi kwa binadamu.
-
#PeaceOverInterest