BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 547
Wakuu wa JF;ni vema kutoa ushauri kupitia jamvi hili kwa waheshimiwa wabunge,ili watimize ahadi za maendeleo kwa wananchi.Nchi inajengwa kwa umoja na ushirikiano kutafuta njia mbadala kuondoa matatizo kwenye majimbo yetu.Hivyo,tuwakumbushe ahadi zao wabunge kama barabara,maji,umeme na kupunguza umaskini nk.Nawakilisha.