SOFTWARE Tunatoa msaada kwa final year project (IT/ICT)

Fursa hizi!Saafi saana!Nakumbuka enzi zetu wazee wa Kunji,hatukuwa na haya ya kusaidiana kwenye project/research hapo UDSM
 
Karibu MABIBOTECH kwa huduma nzuri na ya uhakika.

HUDUMA TUNAZOTOA NI PAMOJA NA

*KURIPEA COMPUTER ZA AINA ZOTE
*KURIPEA SIMU ZA AINA ZOTE
*GRAPHICS DESIGN(kama kutengeneza logo,matangazo)
*WEB DESIGN(kma kutengeneza website, kutengeneza system )
LOCATION:
Tunapatikana maeneo ya mabibo hostel karbu kabsa na kituo cha daladala kinachoitwa mabibo hostel .

Bila kusahau ofa yetu inaendelea ya kuinstall programu mbalimbali BUREEEEEE KABSA....
Kwa mawasiliano zaidi piga 0789908266, 0753610653, 0718471330.
tunawakaribisha wote
 

Attachments

  • Capture.PNG
    38.5 KB · Views: 21
Habari Jf,
Jipatie chaja ya laptop kwa bei rahisi kabisa ya 25000/=.
Kwa wateja wa dar es salaam unaletewa mpaka nyumbani.


Mawasiliano: 0718471330

Mabibotech
 
Mods mmeunga threads zangu sasa hazieleweki, uzi wa kuuza chaja upo kwenye uzi wa final year project JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…