MifugoKilimoTz
Member
- Apr 15, 2019
- 14
- 4
Pet's Vaccination Card
Price: 2,000Tsh | Available
Mifugo Tz ina madaktari(Vet Doctors) wenye uzoefu wa kutosha kwenye matibabu ya wanyama.
Tunatoa huduma mbali mbali za mifugo kama:
a) #Chanjo (Vaccination) kwa mbwa, paka nk
b) Kuzuia maambukiz ya minyoo na magonjwa ya ngozi kwa wanyama wako
c) Matibabu ya magonjwa kwa wanyama
d) Tunafanya operation kubwa na ndogo
e) Na huduma nyingine zinazo fanana na hizo
Huduma zetu ni bora, wengi ni mashaidi, na tutaendelea kutoa huduma bora siku zote maana furaha yetu nikuona wanyama wana afya bora.
Ushauri: Ni vema kuwachanja (vaccination) wanyama wako na kuwafanyia matibabu stahiki maana kwa kufanya hivyo unalinda afya ya mnyama wako na afya yako, ya familia na jamii kwa ujumla.
Hii ni kwasababu binadamu anaweza kupata maambuki ya vimelea vya magonjwa kutoka kwa mnyama lakini binadamu pia anaweza kuleta maambukizi kwa mnyama pia kitaalamu haya magonjwa yanaitwa zoonotic diseases.
Mfano wa magonjwa hayo (Zoonotic diseases) ni kama:
a) Rabies (Kichaa cha mbwa) - Virus
b) Helminthosis (Baadhi ya minyoo)
c) Leptospirosis - Bacteria
d) Tuberculosis (TB) - Bacteria
Na mengine mengi
#mobilepetclinic #animaltreatment #animalsclinic #pethospital #hospitaliyawanyama #veternarian #vetdoctor #animaldoctor #doctorofanimals.
Simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023
Email:
mifugotz@gmail.com
@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani
#daresalaam #tanzania #daktariwamifugo #hospitalyamifugo #hospitalyawanyama #animalhospital #matibabuyamifugo #matibabuyawanyama #clinicyamifugo #paka #mbwa #cathospital #doghospital #dogclinic #catclinic #madawa #madawayamifugo #kituochaafyayamifugo #petclinic #petcare
Price: 2,000Tsh | Available
Mifugo Tz ina madaktari(Vet Doctors) wenye uzoefu wa kutosha kwenye matibabu ya wanyama.
Tunatoa huduma mbali mbali za mifugo kama:
a) #Chanjo (Vaccination) kwa mbwa, paka nk
b) Kuzuia maambukiz ya minyoo na magonjwa ya ngozi kwa wanyama wako
c) Matibabu ya magonjwa kwa wanyama
d) Tunafanya operation kubwa na ndogo
e) Na huduma nyingine zinazo fanana na hizo
Huduma zetu ni bora, wengi ni mashaidi, na tutaendelea kutoa huduma bora siku zote maana furaha yetu nikuona wanyama wana afya bora.
Ushauri: Ni vema kuwachanja (vaccination) wanyama wako na kuwafanyia matibabu stahiki maana kwa kufanya hivyo unalinda afya ya mnyama wako na afya yako, ya familia na jamii kwa ujumla.
Hii ni kwasababu binadamu anaweza kupata maambuki ya vimelea vya magonjwa kutoka kwa mnyama lakini binadamu pia anaweza kuleta maambukizi kwa mnyama pia kitaalamu haya magonjwa yanaitwa zoonotic diseases.
Mfano wa magonjwa hayo (Zoonotic diseases) ni kama:
a) Rabies (Kichaa cha mbwa) - Virus
b) Helminthosis (Baadhi ya minyoo)
c) Leptospirosis - Bacteria
d) Tuberculosis (TB) - Bacteria
Na mengine mengi
#mobilepetclinic #animaltreatment #animalsclinic #pethospital #hospitaliyawanyama #veternarian #vetdoctor #animaldoctor #doctorofanimals.
Simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023
Email:
mifugotz@gmail.com
@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani
#daresalaam #tanzania #daktariwamifugo #hospitalyamifugo #hospitalyawanyama #animalhospital #matibabuyamifugo #matibabuyawanyama #clinicyamifugo #paka #mbwa #cathospital #doghospital #dogclinic #catclinic #madawa #madawayamifugo #kituochaafyayamifugo #petclinic #petcare