Jibebe Inc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 903
- 164
- Thread starter
- #461
Domain ya .com kwa new client ni Tsh 15,000/= kwa mwaka, kurenew ni Tsh 30,000/= kila mwaka.Domain ya COM kwa mwaka ni shiling ngapi kupitia nyinyi?
Maana nasikia Godaddy na wengine wanamchezo mchafu wa kuuza domain km haujalipia.
Sent using Jamii Forums mobile app