Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,036
hii bei n pamoja na marble?Kwa kila mita moja tsh 430,000/=
Kabati ya juu na chini
Tunakufuata mpaka ulipo boss
hii bei n pamoja na marble?Kwa kila mita moja tsh 430,000/=
Kabati ya juu na chini
Tunakufuata mpaka ulipo boss
Vitanda tunatumia mbao za aina tatu mkuu
-mninga (mbao hii vitanda vyake hua hatufanyi finishing ya rangi
- tunatumia Cyprus ktk vitanda ambavyo vinapigwa rangi
-gams hizi tunatumia ktk vitanda. Vinavyofunikwa na spongy na kitambaa...
UTARATIBU WETU NI HUU
-ODA
-MALIPO
-RECEIVE
Ni sofa bed kiongoziMkuu sofa bed ni kochi(sofa) ambalo unaweza kuligeuza kitanda, kuna jinsi unali-extend. Hivyo vitanda vyenye sponge pembeni sio sofa bed.
Sofa nyingne hizi mkuuView attachment 920246View attachment 920248View attachment 920249View attachment 920250View attachment 920251View attachment 920252View attachment 920253View attachment 920254View attachment 920255View attachment 920256View attachment 920257View attachment 920258View attachment 920259
hii bei n pamoja na marble?
Mbao gani watumia?Hapana....yenye marble 600,000 kwa mita square
Hii ni kwa kabati LA chini na juu
Mimi wasiwasi wangu ni hizo Price tu kwasababu
kwa hapa dsm, Leather au velvet nzuri zinaanzia 7000 kwa leather na 8000 kwa velvet
kitanda cha 5*6 ukifunike chote na leather au velvet kinakula mita 9 au 10
so hapo kitambaa pekee ni zaid ya elfu 70,000
Sheets za inch 2 kwa hapa dsm ni 16,000, za inch moja ni 8000.. kitanda kinatumia sheet 1 ya inch 2 na mbili za nch 1.. so unakuta una 32,000 nyingne iko hapo
Kuna mambao hapo, misumar, gundi, chaga +gharama za ufundi
kama ni 2*6= sio chini ya 4 zinatakiwa kutumika hapo
Kwa gharama za kukitengeneza kutumia softwood kama Pines cha kawaida tu ni kama 200,000 hv (bila gharama za ufundi)
Ukiweka hapo gharama za ufundi+ profit... sidhan kama unaweza kuuza 165,000...
Sofa bed hamna hamna ni 400,000+ kwa soft wood na 800,000 na kuendelea kwa hardwood
Na zinakua hazina puff wala side beds... incase zinayo, sio chini ya 600,000 kwa softwood na 1 mil kwa hardwood
au laa, pengine unajua unavyotengeneza mwenyewe..
Mimi wasiwasi wangu ni hizo Price tu kwasababu
kwa hapa dsm, Leather au velvet nzuri zinaanzia 7000 kwa leather na 8000 kwa velvet
kitanda cha 5*6 ukifunike chote na leather au velvet kinakula mita 9 au 10
so hapo kitambaa pekee ni zaid ya elfu 70,000
Sheets za inch 2 kwa hapa dsm ni 16,000, za inch moja ni 8000.. kitanda kinatumia sheet 1 ya inch 2 na mbili za nch 1.. so unakuta una 32,000 nyingne iko hapo
Kuna mambao hapo, misumar, gundi, chaga +gharama za ufundi
kama ni 2*6= sio chini ya 4 zinatakiwa kutumika hapo
Kwa gharama za kukitengeneza kutumia softwood kama Pines cha kawaida tu ni kama 200,000 hv (bila gharama za ufundi)
Ukiweka hapo gharama za ufundi+ profit... sidhan kama unaweza kuuza 165,000...
Sofa bed hamna hamna ni 400,000+ kwa soft wood na 800,000 na kuendelea kwa hardwood
Na zinakua hazina puff wala side beds... incase zinayo, sio chini ya 600,000 kwa softwood na 1 mil kwa hardwood
au laa, pengine unajua unavyotengeneza mwenyewe..
Pine......Mbao gani watumia?
Ninakuambia hivyo sio kwamba sina office au sijui vinavyo tengenezwa..... nenda Instagram search @silasfurniture_01, mm ndio mmilikiMita 10 ??? Umeshawah tengeneza kweli sofa bed ...
Hata ningetumia hiyo hesabu yako bado nabakiwa na pesa
70,000+32,000+hivyo vingne hata havizidi 45,000.....
Kwahyo Nilichogundua umezoea Fanya biashara zile utumie elfu 10 upate elfu 20......KWA KIPINDI HIKI CHA MJOMBA UTAPATATABU SANA
Ninakuambia hivyo sio kwamba sina office au sijui vinavyo tengenezwa..... nenda Instagram search @silasfurniture_01, mm ndio mmiliki
Anyway.. ni soko huria.. ila kuweka mahali 140 uuze 165.. bado ni free delivery....??? real? , gharama za kusafirisha kwa bus, hua ni wastani wa 50,000 elfu kwa kitanda.. anyway.. unajua mwenyewe unavyopiga hesabu zako, biashara njema
Ninakuambia hivyo sio kwamba sina office au sijui vinavyo tengenezwa..... nenda Instagram search @silasfurniture_01, mm ndio mmiliki
Anyway.. ni soko huria.. ila kuweka mahali 140 uuze 165.. bado ni free delivery....??? real? , gharama za kusafirisha kwa bus, hua ni wastani wa 50,000 elfu kwa kitanda.. anyway.. unajua mwenyewe unavyopiga hesabu zako, biashara njema
Sawa, biashara njema.. order inachukua mda gani?Mkuu ....nitaomba nikufundishe biashara kidogo ...
Sio kila biashara unayoifanya ni lazima upate faida Mara mbili au zaid ya mtaji wako .....nimetengeneza hizo bed kwa kipindi kirefu sana na nilipokua naanza nilikua napata faida elfu 6 tu ....LAKINI NAJUA JINSI GANI NAINGIZA FAIDA ZAIDI NA ZAIDI .......
Nina uhakika mkuu wangu katika wateja 10 ninao wauzia vitanda kwa faida kiduchu ,8 kati yao wanarudi na kuhitaji vitu kama sofa,kabati, nk.... Wakishindwa kurudi basi wameniletea wateja ZAIDI kwa kuwa mashuhuda wa furniture zetu ......
......
...mkuuu najua unajaribu kutambua secret of my business hahahahaha
Sawa, biashara njema.. order inachukua mda gani?
nina safari ya Mbeya hv karibun, nitakumbelea, tutajua la kufanyaSiku 5..kwa hizi sofa bed
Sawa hamna shida mkuu....nimechukua namba zako katika page ya insta...nina safari ya Mbeya hv karibun, nitakumbelea, tutajua la kufanya
Sofa kama hii....inapatikana kwetu kwa bei nafuu sana...Karibuni sana IRINGA DECOR kwa furniture za kisasa....TUNAPATIKANA IRINGA MJINI(FRELIMO MAGENGENI)
FURNITURE ZETU NI IMARA NA ZA KISASA .....karibuni mjipatie Vtanda,shoe rack,makabati,kitchen cabinet ,dinning set aina mbali mbali kwa bei nafuu kabisa
Hizi ni bei zetu kwa baadhi ya furniture..
-sofa bed ..
5*6 vinaanzia 165,000/=
6*6 vinaanzia 195,000/=
7*6 vinaanzia 250,000
-vitanda vya mbao(rangi)
5*6 vinaanzia 125,000/=
6*6 vinaanzia 175,000/=
7*6 vinaanzia 215,000/=
MAKABATI (NGUO NA VYOMBO)
-mlango mmoja 180,000/=
- miwili. 255,000/=
- mitatu. 360,000/=
- sita. 680,000/=
DINNING TABLE
Set ya viti vinne. 380,000/=
Set ya viti 6..........650,000/=
Kitchen cabinets...
-kwa kila mita moja - 430,000/=
Bei hii ni juu na chini
Kwa kutumia soft wood
-kwa kila mita moja kwa kutumia hardwood itakua 550,000/=
NB...TUNAFIKISHA MZIGO MIKOA YOTE.....
USAFIRI NI BURE KWA MIKOA YA DSM ,DODOMA, MBEYA, RUVUMA,ARUSHA,SINGIDA,NJOMBE,SONGWE...
View attachment 920202View attachment 920203View attachment 920204View attachment 920205View attachment 920206View attachment 920207View attachment 920208View attachment 920209View attachment 920210View attachment 920213View attachment 920214View attachment 920215View attachment 920216View attachment 920217
Upo WAP mkuuu....Kazi nzuri sana. Ishu ni kuvikisha nilipo