The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,611
- 20,441
Mambo ni mengi mda ni mchache twende kazi
Mbona bila VPN inagonga mzigo fresh tuMambo ni mengi mda ni mchache twende kazi
Mmepewa time Ili mjue kuwa pamefungwa,Mbona bila VPN inagonga mzigo fresh tu
Lakini kwa VPN tunateleza kama kawa. Hii sio mara ya kwanza kufungiwa kwa JF. Hata kipindi cha mtukufu jiwe ilitokea hilo tena kipindi cha uchaguzi kama hiki.Mmepewa time Ili mjue kuwa pamefungwa,
J3 waeza zima rasmi.
Mmh kumbe nikajua ndo tumeisha😀Lakini kwa VPN tunateleza kama kawa. Hii sio mara ya kwanza kufungiwa kwa JF. Hata kipindi cha mtukufu jiwe ilitokea hilo tena kipindi cha uchaguzi kama hiki.
Ni kweli kwa vpn inakubali
InakubaliNi kweli kwa vpn inakubali
Kwangu bila vpn inakataaBila hata vpn inapasua anga bado.
Kwangu bila vpn inakataaBila hata vpn inapasua anga bado.
yaani mbwa hawaMambo ni mengi mda ni mchache twende kazi
