Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Tunateleza na VPN sasa hapa JF

Kweli
IMG_2473.jpeg
 
Unajua wakati hii taarifa inatoka VPN yangu huwa connected muda mwingi kwa sababu ya matumizi ya X (twitter)

Nikaona nateleza tu JF sikuelewa

Nikajaribu kuizima VPN na kweli JF haikufunguka

Kwa sasa nikiwa Tanzania VPN ni ON 24/7 kwa ajili ya X na JF
 
Back
Top Bottom