Hizi wanaita nguo za ndani au za nje?
hahahahaa! Wakipita anga za uamsho uamsho lazima waamshe.Hawa hawapiti katika anga za uamsho?
Ama kweli dunia inakaribia mwisho. Mwanangu kua uyaone.
Hawa hawapiti katika anga za uamsho?
Hao Uamsho wanatakiwa sometomes waje na Facts kubainisha mambo...lakini wanapotimia kigezo cha dini hapo ndipo wanapofail watu wengne hatuamin katka dini...ila kama wakitoa good analysis ya haya mambo hata wanayopigania yanaweza kuwekwa kwenye katiba
Everything is good or bad if u have sufficient knowledge abt it
duh ni shauri ya joto au baridi? hawaogopi mbu wa homa ya dengue
sijui hata tuite je ila naomba wakati huku ninako kaa, chakula njenje bahati iliyoje hiyo, maana huko wanakopita inaonekana vidume vimejichokea aiseeHizi wanaita nguo za ndani au za nje?