Zee la kitaa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 403
- 211
Ni jambo jema kwa chadema kufanya maamuzi sahihi kugombe majimbo ya wabunge wa upinzani waliotoka vyama vyao na kujiunga na ccm na kupewa ridhaa kugombea tena. Kikao chenu leo kigusie jambo hilo; tuone ni kwa namna gani wananchi watakubaliana na hilo.