Tunatafuta wasanii wa maigizo

Tunatafuta wasanii wa maigizo

acontinuer

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2015
Posts
241
Reaction score
256
APPLE ARTISTS GROUP[emoji327]
Inawatangazia kwa wasanii ambao wanapenda kufanya sanaa ya uhigizaji na wasio wasanii ambao wao nao wanapenda kuigiza
Tunaitaji wasanii watakaopenda kujiunga na sisi kwenye group letu la sanaa na kufanya mazoezi kwa pamoja.
Vigezo mwana sanaa anatakiwa anzie miaka 8 hadi miaka 50 jinsia mwanaume au mwanamke.
Tunapatika wilaya ya Temeke shule ya yombo kilakala
kama upo tayari kujiunga na sisi pia wasiliana na sisi kwa number hizi +255 789 880 287
 
APPLE ARTISTS GROUP[emoji327]
Inawatangazia kwa wasanii ambao wanapenda kufanya sanaa ya uhigizaji na wasio wasanii ambao wao nao wanapenda kuigiza
Tunaitaji wasanii watakaopenda kujiunga na sisi kwenye group letu la sanaa na kufanya mazoezi kwa pamoja.

Vigezo mwana sanaa anatakiwa anzie miaka 8 hadi miaka 50 jinsia mwanaume au mwanamke.

Tunapatika wilaya ya Temeke shule ya yombo kilakala.

Kama upo tayari kujiunga na sisi pia wasiliana na sisi kwa number hizi +255 789 880 287
 
Vipi kuhusu mahitaji muhimu kama malazi, chakula, hela ya nauli, nk. Ni kujitegemea, au mna utaratibu maalum? Maana sisi wengine tuko Mikoani.

Na lengo la hilo kundi lenu ni kurusha vipindi vyenu kwenye kituo cha luninga, au ni kwa ajili ya kuelimisha tu kwenye makongamano?
 
Vipi kuhusu mahitaji muhimu kama malazi, chakula, hela ya nauli, nk. Ni kujitegemea, au mna utaratibu maalum? Maana sisi wengine tuko Mikoani.

Na lengo la hilo kundi lenu ni kurusha vipindi vyenu kwenye kituo cha luninga, au ni kwa ajili ya kuelimisha tu kwenye makongamano?
Hakunaga huo utaratibu

Jitegemee vyote...
 
APPLE ARTISTS GROUP[emoji327]
... mlikosa kabisa jina linaloendana na mazingra yetu? Lisilo la kibeberu? Why not choose equivalent names like "dodo"; "chungwa"; "dafu"; "embe"; "nanasi"; etc?
 
Hakunaga huo utaratibu

Jitegemee vyote...
Huna majibu yenye PR.
Ningekuwa mm ningejibu hivi;
"Kwa sasa hatuna utaratibu huo, ingawa kwa baadae ikiwa itafaa tutaweka utaratibu huo ili kusaidia wasanii wachanga na wenye mahitaji maalum. Asante"
 
Huna majibu yenye PR.
Ningekuwa mm ningejibu hivi;
"Kwa sasa hatuna utaratibu huo, ingawa kwa baadae ikiwa itafaa tutaweka utaratibu huo ili kusaidia wasanii wachanga na wenye mahitaji maalum. Asante"
Huoni aliyejibu ana id tofauti na muanzisha uzi. Watakua watu wawili tofauti.
 
Natokea Korogwe. Napata sehemu ya kufikia?
 
... mlikosa kabisa jina linaloendana na mazingra yetu? Lisilo la kibeberu? Why not choose equivalent names like "dodo"; "chungwa"; "dafu"; "embe"; "nanasi"; etc?
Tulikosa kwa sababu kuanzia camera lights zote wametengeneza mabeberu
 
Vipi kuhusu mahitaji muhimu kama malazi, chakula, hela ya nauli, nk. Ni kujitegemea, au mna utaratibu maalum? Maana sisi wengine tuko Mikoani.

Na lengo la hilo kundi lenu ni kurusha vipindi vyenu kwenye kituo cha luninga, au ni kwa ajili ya kuelimisha tu kwenye makongamano?
Kwa sasa ni ngumu kukupa nauli ya kwenda na kuludi pia kwa watu wa mikoani pia ni changamoto kwa sababu kundi bado changa malengo yetu movie zetu kupeleka kwenye television za hapa Tanzania pili Tunazilusha YouTube kwenye channel ya 255 nyumbani unaweza kuzitazama baadhi ya kazi zetu
 
Natokea Korogwe. Napata sehemu ya kufikia?
Kwa sasa ni ngumu kukupa nauli ya kwenda na kuludi pia kwa watu wa mikoani pia ni changamoto kwa sababu kundi bado changa malengo yetu movie zetu kupeleka kwenye television za hapa Tanzania pili Tunazilusha YouTube kwenye channel ya 255 nyumbani unaweza kuzitazama baadhi ya kazi zetu
 
Vipi kuhusu mahitaji muhimu kama malazi, chakula, hela ya nauli, nk. Ni kujitegemea, au mna utaratibu maalum? Maana sisi wengine tuko Mikoani.

Na lengo la hilo kundi lenu ni kurusha vipindi vyenu kwenye kituo cha luninga, au ni kwa ajili ya kuelimisha tu kwenye makongamano?
Babe tuingie kwenye hiyo fani eeh? Nawish pia
 
Huna majibu yenye PR.
Ningekuwa mm ningejibu hivi;
"Kwa sasa hatuna utaratibu huo, ingawa kwa baadae ikiwa itafaa tutaweka utaratibu huo ili kusaidia wasanii wachanga na wenye mahitaji maalum. Asante"
Shule nayo muhimu.. Communication skills
 
Duh sifa siyo kipaji ni tako ? Tuna safari ndefu sana movies zetu kucross border[emoji848][emoji14] ndiyo maana hata ndani ya nchi tu watu hawaangalii
Sio kweli kipaji chako hakichagui sura wala rangi ya ngozi maana sanaa ya maigizo ni simulizi ya video na sauti
 
Back
Top Bottom