Tunatafuta wafanyakazi



Sio kweli ,nakuomba ufikiri zaidi kusema uongo hapa hakusaidii kitu zaidi ya kuonyesha ujinga na uwezo finyu wa kufikiri

Tafadhali kama una kazi waache wanaosaka wasake ajira kwa amani usiwachanganye watu kwa ongo zako zisizo na maana
 
kumbe ndo hawa wametoa vipeperushi kibao,mwishoni eti ,kuna fom za kujaza,unailipia hyo form sh 3000,km sio wiz huo ni nn?
 
wizi mtupu hawa baadae wata request hela za interviw na training kuweni makini
 
information za kutosha basi jamani,kama office location, qualification nk
 
assistens naye anatakiwa.....hakuna kazi hapo usituchosheeee.....nna uhakika una ndugu mia 5 hawana kazi kama kazi haina hata vigezo si uwape ?????potelea mbaliiiiii:yell:
 
tumechoshwa na hii tabia ya watu kutumia matatizo ya wavuja jasho ili kujinufaisha,hii iko au mpaka tu dili nao ndo waache?
 
Acheni kuwachukulia wateja 3,000/= ati ya form. Form moja mmeitoa photocopy kibao kisha,watu mna wa charge tshs. 3,000/ awe amepata kazi au kashindwa kutoa hela ya udalali, ni dhambi kwanini msimhoji mtu na kumpa maelezo kwamba kuna makampuni wanatafuta watu na mnapotaja 80,000 kama mtu hana basi asiwe amepoteza na hela yake ya form- jirekebisheni tabia hii mbaya mnachuma 3,000 kwa watu wasiokuwa na ajira jamani hali mbaya...kuweni na huruma....
 
Tatizo nikwamba hakupita shule

Kumbe na wewe umeling'amua hili, maana hata kuandika hajui. nimesoma post nikaptwa na kichefufu.

Lenjentz kama uajiriwa basi boss wako kanunua mbuzi kny gunia.
 
Udereva wa kiwango gani, A,B,C au D? Kuna kijana wangu mtaani anatafuta kazi ya udereva ana CLASS D.
 
Kumbe na wewe umeling'amua hili, maana hata kuandika hajui. nimesoma post nikaptwa na kichefufu.

Lenjentz kama uajiriwa basi boss wako kanunua mbuzi kny gunia.


Na wewe umeandika nini sasa hongera kwa kutuonyesha Uchi wa akili yako,yako maneno ningekuambia lakini kwa kuwa uu mjinga endelea na ujinga wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…