Tunatafuta ndugu zake

Taarifa mbona haijakamilika?
Anaitwa nani huyo mgonjwa,
Anaishi wapi,
Kama ametengemaa nilitegemea awe ametoa na hizo taarifa muhimu.
Umesoma kwa kituo. Jamaa alipata majeraha KICHWANI HIVYO KWA SASA ANA MEMORY LOSS.

kapoteza kumbukumbu hivyo KUWEZA kukumbuka ita mchukua muda KUWEZA kupata kumbukumbu again.

Mwenyezi Mungu atutangulie sana kwenye haya maisha hatuzijui kesho zetuu.
 
Umesoma kwa kituo. Jamaa alipata majeraha KICHWANI HIVYO KWA SASA ANA MEMORY LOSS.

kapoteza kumbukumbu hivyo KUWEZA kukumbuka ita mchukua muda KUWEZA kupata kumbukumbu again.

Mwenyezi Mungu atutangulie sana kwenye haya maisha hatuzijui kesho zetuu.
daktari mmesema kwa sasa,,, huyo muuliza swali atakua anamaanisha before "sasa" je hakuwaga na jina? au mlimpokea bila kuchukua maelezo yake?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…