Tunatafuta ndugu zake

Tunatafuta ndugu zake

Joined
Apr 15, 2025
Posts
91
Reaction score
174
IMG-20260130-WA0031.jpg
 
Hivi kumbukumbu huwa zinawajia baadae au ndiyo ulemavu wa kudumu?
 
MOI wana treatment na hospitality nzuri sana ukweli usemwe na kwa hilo nawasifu.

Ila kwenye ishu ya gharama tu kwakweli ni kipengele. Hususan ukiangalia uchumi wa mwananchi wa kawaida.

Dawa ambazo zinauzwa famasia za nje, ukiwa MOI unaweza kuuziwa kwa gharama inayozidi mara 3 hadi 4.

Na hakunaga negotiations.

Hapo hujagusa gharama za matibabu pamoja na vipimo.

At least wangepunguza gharama upande wa dawa kuwa gharama sawa tu na famasia za nje ili walau mtu ajitutumue kulipia hayo matibabu, vipimo na kitanda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom