Erick kg
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 314
- 71
Biashara ya Mfumo wa manunuzi ya bidhaa zote zinazipatikana China kwa Bei ya jumla kwajili ya wafanyabiashara wadogo na wakati kwa Tanzania nzima, kupitia mtandao. Platform(mobile app) ipo Hewani tayari.
Wateja watakuwa wanauwezo wa kupata bidhaa zote za china na kwa bei ya kiwandani, bila kuenda china akiwa popote alipo kwa kutumia simu yake tu.
Kampuni yetu ina Warehouse kubwa china tayari ambapo mzigo ya wateja itakuwa inakaguliwa kuhakikisha Ubora na uhakika wa bidhaa kabla haijaja Tanzania.
Kampuni ina ofisi Dar es salaam na China
Kampuni inategemea kupata makadirio ya Faida ya 2 Billion(2,000,000,000) kwa mwaka wa kwanza. Hizi ni takwimu zizotokana na Feasibility study iliyofanywa na kampuni yetu.
MWEKEZAJI AWE NA UWEZO WA KUWEKEZA 50M- 100M.
Wateja watakuwa wanauwezo wa kupata bidhaa zote za china na kwa bei ya kiwandani, bila kuenda china akiwa popote alipo kwa kutumia simu yake tu.
Kampuni yetu ina Warehouse kubwa china tayari ambapo mzigo ya wateja itakuwa inakaguliwa kuhakikisha Ubora na uhakika wa bidhaa kabla haijaja Tanzania.
Kampuni ina ofisi Dar es salaam na China
Kampuni inategemea kupata makadirio ya Faida ya 2 Billion(2,000,000,000) kwa mwaka wa kwanza. Hizi ni takwimu zizotokana na Feasibility study iliyofanywa na kampuni yetu.
MWEKEZAJI AWE NA UWEZO WA KUWEKEZA 50M- 100M.