KingRay JF-Expert Member May 5, 2013 516 291 Feb 26, 2019 #1 Tunatafuta fundi mzuri na mzoefu wa magari tajwa hapo juu kama upo please nicheki PM Ni kwenye Kampuni na ataajiriwa kabisa kulingana na vigezo vyake. Ahsante sana
Tunatafuta fundi mzuri na mzoefu wa magari tajwa hapo juu kama upo please nicheki PM Ni kwenye Kampuni na ataajiriwa kabisa kulingana na vigezo vyake. Ahsante sana
Ernest lukindo Senior Member Jul 29, 2015 156 110 Feb 26, 2019 #2 Nitumie namba yako ya simu tafadhar ili nipate kuwasiliana na ww mendez