prumpeti
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 1,021
- 2,279
Shehena ya makombora 1500 ya kutungulia ndege aina ya Strela na bunduki 100 za MG3 zimewasili nchini Ukraine kutoka Ujerumani.
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock alisema vifaa zaidi vya makombora ya Strela vilikuwa vinakwenda Ukraine kufwatia kuchelewesha kwa uwasilishaji.
Uvamizi wa Russia nchini Ukraine umefanya Ujerumani kubatilisha sera yake ya kihistoria ya kutopeleka silaha katika maeneo yenye mizozo.
Sisi ni mmoja wa wa wasambazaji wakubwa wa silaha katika hali hii,hatufanyi tujivunie lakini ni kile tunachopaswa kufanya ili kuisaidia Ukraine..Alisema
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock alisema vifaa zaidi vya makombora ya Strela vilikuwa vinakwenda Ukraine kufwatia kuchelewesha kwa uwasilishaji.
Uvamizi wa Russia nchini Ukraine umefanya Ujerumani kubatilisha sera yake ya kihistoria ya kutopeleka silaha katika maeneo yenye mizozo.
Sisi ni mmoja wa wa wasambazaji wakubwa wa silaha katika hali hii,hatufanyi tujivunie lakini ni kile tunachopaswa kufanya ili kuisaidia Ukraine..Alisema