JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu unaoitwa "Watasubiri Sana' baada ya kupata taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa wimbo na video hiyo inaleta ukakasi kwa waumini wa dini na dhehebu fulani.
Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.
Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.