Tunasimama wapi kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini?

Tunasimama wapi kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini?

Mashaka Mgeta

Member
Joined
Jul 8, 2009
Posts
5
Reaction score
2
Wanajamii.

Nimefuatilia historia ya nchi hii na kuona jinsi (awali) Tanzania ilivyokuwa mshirika wa karibu sana na Korea Kaskazini (kutokana na mfumo wa kikomunisti wa vyama tawala katika nchi hizo). Hata sasa ushirikiano huo bado upo. Lakini pia wapo Korea Kusini tunaoshirikiana nao katika masuala ya uchumi na maendeleo, wakitoa ama kusaidia huduma tofauti za kijamii zikiwemo afya, elimu na kilimo.

Lakini hivi sasa, Korea Kaskazini iliyo mshirika hasa wa kisiasa wa Tanzania, anatajwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu kiasi cha kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Umoja wa Mataifa. Lakini ni Korea Kaskazini inayoendeleza mradi wake wa nyuklia unaodaiwa kutishia amani ya dunia.

Kwa hali hiyo, hivi Tanzania hivi sasa tunasimama upande gani kati ya mataifa hayo?

Ninawasilisha
 
Tungekuwa na demokrasia ya kupiga kura mlengo gani tuchukue, ningepiga kwa korea kaskazini.
 
Me pia cpendi kuamin saana western media,
 
Ukiona west wanamlalamikia mtu na kumshutumu basi kama unajiamini mfanye huyo mlalamikiwa mshirika wako!
 
Wanajamii.

Nimefuatilia historia ya nchi hii na kuona jinsi (awali) Tanzania ilivyokuwa mshirika wa karibu sana na Korea Kaskazini (kutokana na mfumo wa kikomunisti wa vyama tawala katika nchi hizo). Hata sasa ushirikiano huo bado upo. Lakini pia wapo Korea Kusini tunaoshirikiana nao katika masuala ya uchumi na maendeleo, wakitoa ama kusaidia huduma tofauti za kijamii zikiwemo afya, elimu na kilimo.

Lakini hivi sasa, Korea Kaskazini iliyo mshirika hasa wa kisiasa wa Tanzania, anatajwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu kiasi cha kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Umoja wa Mataifa. Lakini ni Korea Kaskazini inayoendeleza mradi wake wa nyuklia unaodaiwa kutishia amani ya dunia.

Kwa hali hiyo, hivi Tanzania hivi sasa tunasimama upande gani kati ya mataifa hayo?

Ninawasilisha

Unajua mkuu hii dunia ina vituko kisha ina watu vilaza! Mi huwa nawashangaa wale wanaoshadidia matendo ya USA humu JF!

Katika Historia ya dunia USA yeye ndie aliewahi kutupa nuclear bomb pale kitaa cha Hiroshima na athari zake mpk saa ivi saa tatu zipo pale. Na still anamiliko hizp silaha lakini Hakuna UN SANCTIONS alizoekewa, na still anaendelea kuproduce hayo mabomu! Lakini yeye USA/UN hataki mataifa mengine yamiliki hizo silaha, anataka awe nazo yeye ili aendeleze ubabe!! Juzi north Korea alirusha satelite kama anavosema yeye, lakini USA akasema it was a tes of long range missile! Sasa akirusha satelite NK inakiwa test ya pong range missile akirusha USA inakuwa ni kiweka satelite angani! Iran nae ndio kwanza yupo katika progress ya kuwa na nuclear bomb lakini hajafikia ile enrichment hasa inayotakiwa lakini anapogwa vita, na kuwekewa sanctions na UN, Iran anasema ni kwa ajili ya peaful purpose lakini USA ana vinu vingi sana, hakuna sanctioms wala nini!
Mi naona dunia nzima tuiunge moono NK, its time to take matters on our own hands coz we all know who is UNITED NATIONS ( UNITED STATES in another name)
 
south korea ndo kila kitu,north wanaongozwa na ma-junta ndo mana wanabehave hivyo-
 
Kwani zile siasa za kutofungamana na upande wowote hazipo tena Tanzania?
Hatuchaguliwi marafiki. Ni rafiki wa Korea Kaskazini,pia wa Korea Kusini.
Ni rafiki wa USA, pia ni Rafiki wa Russia,Iran ,Libya Cuba nk.
 
jamani inabidi tuwe makini sana. mara nyingi tunachukua msimamo fulani kwa sababu tu hatuelewi mambo vizuri.

maisha wanayoishi watu wa North Korean sio maisha y abinadamu wa kawaida. ni magumu na mabaya sana. hakuna nchi ya kiafrika ambayo watu wake wameishi maisha kama yale tangu uhuru. njaa, kunyimwa uhuru wa kujieleza, kuabudu, nk. vitu kama internet watu wa north korea wanavisikia kwenye bomba. hawaruhusiwi kupiga simu nje ya nchi wala kusafiri kwenda nje ya nchi.

ni jukumu letu kusaidia nguvu zozote zitakazo saidia kuwakomboa watu wa nirth korea
 
jamani inabidi tuwe makini sana. mara nyingi tunachukua msimamo fulani kwa sababu tu hatuelewi mambo vizuri.

maisha wanayoishi watu wa North Korean sio maisha y abinadamu wa kawaida. ni magumu na mabaya sana. hakuna nchi ya kiafrika ambayo watu wake wameishi maisha kama yale tangu uhuru. njaa, kunyimwa uhuru wa kujieleza, kuabudu, nk. vitu kama internet watu wa north korea wanavisikia kwenye bomba. hawaruhusiwi kupiga simu nje ya nchi wala kusafiri kwenda nje ya nchi.

ni jukumu letu kusaidia nguvu zozote zitakazo saidia kuwakomboa watu wa nirth korea

mkuu yana ukweli hayo
 
Unajua mkuu hii dunia ina vituko kisha ina watu vilaza! Mi huwa nawashangaa wale wanaoshadidia matendo ya USA humu JF!

Katika Historia ya dunia USA yeye ndie aliewahi kutupa nuclear bomb pale kitaa cha Hiroshima na athari zake mpk saa ivi saa tatu zipo pale. Na still anamiliko hizp silaha lakini Hakuna UN SANCTIONS alizoekewa, na still anaendelea kuproduce hayo mabomu! Lakini yeye USA/UN hataki mataifa mengine yamiliki hizo silaha, anataka awe nazo yeye ili aendeleze ubabe!! Juzi north Korea alirusha satelite kama anavosema yeye, lakini USA akasema it was a tes of long range missile! Sasa akirusha satelite NK inakiwa test ya pong range missile akirusha USA inakuwa ni kiweka satelite angani! Iran nae ndio kwanza yupo katika progress ya kuwa na nuclear bomb lakini hajafikia ile enrichment hasa inayotakiwa lakini anapogwa vita, na kuwekewa sanctions na UN, Iran anasema ni kwa ajili ya peaful purpose lakini USA ana vinu vingi sana, hakuna sanctioms wala nini!
Mi naona dunia nzima tuiunge moono NK, its time to take matters on our own hands coz we all know who is UNITED NATIONS ( UNITED STATES in another name)

this is beautiful thought...i wish all of the worlder were of the same mind like yours and mine
 
jamani inabidi tuwe makini sana. mara nyingi tunachukua msimamo fulani kwa sababu tu hatuelewi mambo vizuri.

maisha wanayoishi watu wa North Korean sio maisha y abinadamu wa kawaida. ni magumu na mabaya sana. hakuna nchi ya kiafrika ambayo watu wake wameishi maisha kama yale tangu uhuru. njaa, kunyimwa uhuru wa kujieleza, kuabudu, nk. vitu kama internet watu wa north korea wanavisikia kwenye bomba. hawaruhusiwi kupiga simu nje ya nchi wala kusafiri kwenda nje ya nchi.

ni jukumu letu kusaidia nguvu zozote zitakazo saidia kuwakomboa watu wa nirth korea

Ujue mara nyingi jambo likiingiliwa na marekani watu wanaona uongo. Korea Kaskazini ni biashara ya familia ndo mmeona ameingia mtoto ana miaka 25 kutawala. Maisha ni magumu kwa hao watu kama ulivyosema
 
Unajua mkuu hii dunia ina vituko kisha ina watu vilaza! Mi huwa nawashangaa wale wanaoshadidia matendo ya USA humu JF!

Katika Historia ya dunia USA yeye ndie aliewahi kutupa nuclear bomb pale kitaa cha Hiroshima na athari zake mpk saa ivi saa tatu zipo pale. Na still anamiliko hizp silaha lakini Hakuna UN SANCTIONS alizoekewa, na still anaendelea kuproduce hayo mabomu! Lakini yeye USA/UN hataki mataifa mengine yamiliki hizo silaha, anataka awe nazo yeye ili aendeleze ubabe!! Juzi north Korea alirusha satelite kama anavosema yeye, lakini USA akasema it was a tes of long range missile! Sasa akirusha satelite NK inakiwa test ya pong range missile akirusha USA inakuwa ni kiweka satelite angani! Iran nae ndio kwanza yupo katika progress ya kuwa na nuclear bomb lakini hajafikia ile enrichment hasa inayotakiwa lakini anapogwa vita, na kuwekewa sanctions na UN, Iran anasema ni kwa ajili ya peaful purpose lakini USA ana vinu vingi sana, hakuna sanctioms wala nini!
Mi naona dunia nzima tuiunge moono NK, its time to take matters on our own hands coz we all know who is UNITED NATIONS ( UNITED STATES in another name)

Wajapani waliopigwa bomu ni washirika wakubwa wa marekani, sasa nyie mnaanza kutetea korea kaskazini. Watu wanapigika na isomeni historia ya korea, kaskazini wanaona kusini sehemu yao na si kaskazini kuwa sehemu ya kusini. Ujerumani magharibi iliimeza mashariki kutokana na maendeleo ya magharibi chini ya marekani baada ya vita ya pili ya dunia. Na korea ilitakiwa kuwa namna hiyo kusini kuimeza kaskazini tatizo ni utawala wa familia ya Kim kule kaskazini
 
Unajua mkuu hii dunia ina vituko kisha ina watu vilaza! Mi huwa nawashangaa wale wanaoshadidia matendo ya USA humu JF!

Katika Historia ya dunia USA yeye ndie aliewahi kutupa nuclear bomb pale kitaa cha Hiroshima na athari zake mpk saa ivi saa tatu zipo pale. Na still anamiliko hizp silaha lakini Hakuna UN SANCTIONS alizoekewa, na still anaendelea kuproduce hayo mabomu! Lakini yeye USA/UN hataki mataifa mengine yamiliki hizo silaha, anataka awe nazo yeye ili aendeleze ubabe!! Juzi north Korea alirusha satelite kama anavosema yeye, lakini USA akasema it was a tes of long range missile! Sasa akirusha satelite NK inakiwa test ya pong range missile akirusha USA inakuwa ni kiweka satelite angani! Iran nae ndio kwanza yupo katika progress ya kuwa na nuclear bomb lakini hajafikia ile enrichment hasa inayotakiwa lakini anapogwa vita, na kuwekewa sanctions na UN, Iran anasema ni kwa ajili ya peaful purpose lakini USA ana vinu vingi sana, hakuna sanctioms wala nini!
Mi naona dunia nzima tuiunge moono NK, its time to take matters on our own hands coz we all know who is UNITED NATIONS ( UNITED STATES in another name)
Kwa mtazamo wako vilaza ni wale wanaoiunga mkono marekani. Nilichogundua kwako ni uelewa finyuwa bomu la nyuklia, na ni baada ya wewe kuhoji kwamba mbona marekani iliwahikulitumia dhidi ya japan. kimsingi bomu lilipotumika ilikuwa ni mara ya kwanzana uharibifu iliofanywa na bomu ni kitu cha kihistoria hakiwezi kusahaulika.Ikiwemo kuleta kansa na ulemavu. Ifahamike kuwa kama sio matumizi ya lile bomujapan wangeendeleza vita ya dunia ambayo ilikoma baada ya wao kusalimuamri.Tangu athari zake zionekane zinarithishwa hadi watoto wanazaliwa walemavumarekani iliazimia kwamba bomu la aina ile lisienee ulimwenguni tena kwa maana litaathiri viumbe hai wote na ku-pollute maji safi na hewa. Pia hata japan imekuwa ikitumia nyuklia kama nishati ina mkakati wa kuachana rasmikwa kutafuta mbadala na hii inatokana na madhara yaliyotokea kwao hivi karibunina sio wao tu hata ujerumani inataka kuachana nayo pia. Cha ajabu ni iran nchiyenye inakomaa kujitengenezea . hivyo marekani wakati huo Walianzisha majadiliano na urusi ya namna ya kuyapunguzamabomu ili kila nchi iwe na makombora 1500 tu. Ikumbukwe kuwa bomu lile liliotumika kule japan kwasasa limeboreshwa Zaidi ya pale hivyo madhara yake ni makubwa kulikoya wakati ule iwapo litatumika sasa. Vita baridi iliihusisha urusi na marekanikwa njia isiyo ya moja kwa moja yaani wakihujumiana kupitia nchi nyingine mpakapale urusi ikasambaratishwa. Nchi zilizotumiwa na urusi ni kama Vietnam yakaskazini, cuba, korea ya kaskazini na iliyokuwa ujerumani mashariki, marekaniiliihujumu urusi kupitia nchi kama japan, china,Vietnam ya kusini, ujerumanimagaharibi,korea ya kusini, afghnaistan, . mwishowe urusi kwakuwa ilikuwahaitaki mabadiliko ya mfumo wake walitumia gharama nyingi kuunda mabomu yanyuklia na ndio maana mpaka sasa urusi inayo mabomu mengi ya nyuklia kuliko marekani. Baada ya vita baridi kuisha1990 russia ikawa imeporomoka kiuchumi marekani ikaona kwakuwa wataalamu wakuunda mabomu wa urusi wanaweza kuchukuliwa na mataifa mengine wakatengenezemabomu hayo ili kuihujumu marekani ikawa inailipa Russia fedha za kuboreshamaisha ya watu wake ili wasishawishike kirahisi na mataifa mengine, lengo hapani kuhakiksha technolojia ya nyuklia haisambai Zaidi. Ifahamike kuwa sio kilataifa lina demokrasia ya kutosha mfano ni korea ya kaskazini ambayo utawalawake umekuwa ni wa kurithi na wa kidikteta mpaka leo ikiwaacha wananchi wakekuwa maskini sana. Kutokuwepo na demokrasia kunapelekea taifa lisiwe na uhakikawa kuwa na uongozi bora. uKosefu wa demokrasia pia ipo sana uarabuni, ambapo baadhi ya tawala hizi zinatumia kivuli cha udini kukandamiza watu Mfano ni SadamuHussein ambaye aliwahi kuwaua wakurdi kwa silaha za sumu. Pia yeye alikuwa aduiwa madhehebu ya shia. Hilo limefanya marekani kuingilia tawala nyingi za kiimla zilizoko uarabuni ili kuleta haki kwa wananchi jambo ambalo madikteta wa uarabuni wamekuwa wakipinga na kuwaaminisha watu wao kuwa marekani inapambanana dini zao. Hata dikteta ghadafi aliwahi kudai watu wake hawausiki nakuangusha ndege katika anga la lockarbie mwaka 1988 baadaye alikiri wanahusikana kumaliza utata huo. Viongozi madikteta wako tayari kufanya lolote iliwabakie madarakani na wananchi hawawezi kuwaondoa. Mfano bila mataifa ya ulayakuingilia kati wananchi wa Libya wasingeweza kumtoa ghadafi madarakani pia kama mataifa ya ulaya hayataingilia kati Syria wananchi wataendelea kufa bila kumtoaAssad madarakani. Swali hapa ni itakuaje ikiwa madikteta hawa wanamiliki nyuklia. Pia Kuna watu hapa duniani wanaitwa magaidi ambao wamekata tamaa yakuishi na wako tayari kufa wakiwa wanajiona hawana cha kupoteza hapa duniani, hawawakipata nyuklia wataua hata wale wenye matumaini na ndoto za kuishi. Hawafaikuwa baba wala mama kwa ubinafsi wao wanataka waishi wa mzazi tu wakichoka tufenao wengine bila kujali vizazi vijavyo vinakuja duniani vikute nini. Yanini kuwa na watu ambao wako tayarikuharibu furaha ya wengine kwa manufaayao. Hawa ni sawa na wachawi tu wanachowaza ni tufe wote. Dunia imebadilikasana siku hizi tofauti na miaka ya nyuma Jamii ya watu wengi dunianiwa tabaka, kabila na lugha tofauti wanaishi marekani zaidi kuliko wanaoishi huko north korea na hawa wote wanatafuta maisha, hivyo tusijidanganywe kuwa madhara ya nuclear leo hii yatawagusa wamarekani peke yao,na kuwaacha wasio wamarekani. Mtazamo wangu ili dunia iendelee kuwa mahala safi na salama pa kuishi, mabomu ya nuclear hayatakiwi kuendelea kusambaa kwani tuna nchi nyingi sana zilizokosa utawala wa kidemokrasia nihazifai kuwa na haki ya kumiliki nyuklia na silaa zozote za maangamizi (mass destruction). ni sawa na mtoto mdogo kupewa chakula kwenye sahani ya kioo badala ya ile ya plastic au mfupa ni kuhatarisha usalama wa sahani .Huyu kiongozi wakorea ni bwa-mdogo aliyerithi na ndiye anaetishia kutumia nyuklia, ukiitazama india na Pakistani zinapigana mara kwa mara lakini hazijawahi kutupiana nyuklia. Hapa tunaona tofauti kati ya udikteta na demokrasia. Nakushauri acha kufuatilia siasa za kimataifa ukiwa chumbani tafuta taarifa tofauti hata zile usizopenda kuzijua ili uweze kupata ukweli. Pia acha jazba za kuwaita watu vilaza wakati upeo wako unaonekana ni duni. Sheria na Haki za binadamu ziliundwa na zinasimamiwa ili dunia iwe mahali safi na salama pa kuishi na hizi sio sheria za dini Fulani ambazo zitamnyima uhuru mtu mwingine kufurahia maisha zipo pale kuwashughulikia viongozi dhalimu hasa katika nchi zinazoinyanyasa na kuitesa demokrasia. Haki sikuzote ni ya mungu na itaendelea kushinda. mada ilililoulizwa kwenye hii thread ni Tanzania ina mtazamo gani.. kihistoria huwa hatuonyeshi tunafungamana na nchi gani hasa na nadhani ndio litakuwa jibuletu siku zote.
 
mkuu yana ukweli hayo
yes, 100% nilikuwa south Korea 2008 nilijitahidi sana kudadisi katika hilo ni kweli kabisa, kinyume chake hali ilivyo South Korea ni kama USA vile. Kifupi wale North Korea siasa zao ni foolish, mi si mnazi wa USA lakini kwa kesi ya North Korea nitakuwa mnazi wa USA kwa mara ya kwanza
 
Kungekua na njia ya kuwapeleka wanaoshadadia N. Korea wakaishi huko kwa miaka kama kumi afu warudi waulizwe tena hili swali.
 
Tungekuwa na demokrasia ya kupiga kura mlengo gani tuchukue, ningepiga kwa korea kaskazini.
North Korea anawekewa vikwazo kwa kuwa ana silaha za hatari kwa hawa wakubwa. Hili la haki za binadamu ni visingizio tu. Sikubaliani kabisa na utaratibu huu wa mataifa machache kuamua nani amiliki silaha gani, na nani asimiliki. Hii ni Babylon system.

Kama wenyewe wanavyosema kila siku kuwa Israel ana haki ya kujilinda, wamweche na North Korea na haki yake ya kujilinda. I am also with North Korea on this one. Tutu amewahi kusema ukimwona mnyonge ananyanyaswa na wewe ukakaa kimya, umechagua kuwa upande wa mnyanyasaji.
 
Unajua mkuu hii dunia ina vituko kisha ina watu vilaza! Mi huwa nawashangaa wale wanaoshadidia matendo ya USA humu JF!

Katika Historia ya dunia USA yeye ndie aliewahi kutupa nuclear bomb pale kitaa cha Hiroshima na athari zake mpk saa ivi saa tatu zipo pale. Na still anamiliko hizp silaha lakini Hakuna UN SANCTIONS alizoekewa, na still anaendelea kuproduce hayo mabomu! Lakini yeye USA/UN hataki mataifa mengine yamiliki hizo silaha, anataka awe nazo yeye ili aendeleze ubabe!! Juzi north Korea alirusha satelite kama anavosema yeye, lakini USA akasema it was a tes of long range missile! Sasa akirusha satelite NK inakiwa test ya pong range missile akirusha USA inakuwa ni kiweka satelite angani! Iran nae ndio kwanza yupo katika progress ya kuwa na nuclear bomb lakini hajafikia ile enrichment hasa inayotakiwa lakini anapogwa vita, na kuwekewa sanctions na UN, Iran anasema ni kwa ajili ya peaful purpose lakini USA ana vinu vingi sana, hakuna sanctioms wala nini!
Mi naona dunia nzima tuiunge moono NK, its time to take matters on our own hands coz we all know who is UNITED NATIONS ( UNITED STATES in another name)
Well said mkuu. Hapa tunaangalia ugumu wa maisha Korea kaskazini, lakini hatutaki kuangalia mchango wa imperialist US katika kusabaisha ugumu wa maisha hayo si kwa Korea pekee bali nchi zote anazotofautiana nazo. Hili ndilo wakala kuu la shetani hapa duniani. Tazama linavyotaka kulazimisha ushoga dunia nzima kisa tu dunia inahitaji misaada yake.
 
Back
Top Bottom