Tunapoitafakari Siku Ya Uhuru Wa Vyombo Vya Habari Duniani...

Tunapoitafakari Siku Ya Uhuru Wa Vyombo Vya Habari Duniani...

Asante kutukumbusha!, kumbe siku yetu leo!. Wengine tulishaisahau siku nyingi tangu tulipoacha rasmi kazi za newsroom!.

Thanks.

Pasco.
Mwandishi wa habari wa enzi hizo.
Kwa sasa, anaandika kwa kujitegemea na kujitolea bila kulipwa, hivyo huandika chochote, na kukipeleka chombo chochote cha habari bure kabisa, na hicho chombo kinakuwa huru kutumia au kutokutumia habari/makala zangu.
Pasco.
leo ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari, hivyo leo ni siku yetu.
P
 
Asante kutukumbusha!, kumbe siku yetu leo!. Wengine tulishaisahau siku nyingi tangu tulipoacha rasmi kazi za newsroom!.

Thanks.

Pasco.
Mwandishi wa habari wa enzi hizo.
Kwa sasa, anaandika kwa kujitegemea na kujitolea bila kulipwa, hivyo huandika chochote, na kukipeleka chombo chochote cha habari bure kabisa, na hicho chombo kinakuwa huru kutumia au kutokutumia habari/makala zangu.
Pasco.
Wanabodi
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa HabarI, hii ni makala yangu ya pongezi kwa Waziri wetu wa habari,Mhe Paul Makonda kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo. Leo ni Siku ya Uhuru wa Habari:Pongezi Waziri Makonda Kuusema Ukweli Mchungu!,Pesa Ndio Kila Kitu,Hakuna Uhuru Bila Pesa!Waandishi Tafuteni Pesa!.

Nimempongeza Makonda kwa kuusema ukweli mchungu kuhusu tasnia ya habari ya kisasa,hakuna kitu cha bure!kila kitu ni pesa!,pesa ndio kila kitu,hakuna uhuru wa habari,bila uhuru wa kiuchumi,hakuna uhuru bila pesa!,ametutaka waandishi wa habari tutafute pesa!.

Nawapongeza waandishi wenzangu wote wa habari kwa siku yetu hii ya kimataifa ya uhuru wa habari,kwa msisitizo wa alichokisema Waziri Makonda,kuwa siku hizi,hakuna kitu cha bure!,kila kitu ni pesa,hata habari ni pesa, hivyo waandishi tutafute pesa!。

Mungu Mbariki Waziri Makonda
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
 
Back
Top Bottom