Tunapendana au tunatamaniana

Tunapendana au tunatamaniana

Tatizo kubwa nnaloliona vijana wengi huwa wanadhani Ndoa its all about tendo la ndoa na kusahau kuwa kuna majukumu mengine mengi yanayoifanya ndoa iende mbele..wengi wanaofikiria ndoa huwa wanaishia kwenye kuwazia tendo la ndoa na ndo maana baada ya siku chache wakishazoeana its over...they dont think another life more than tht..sana saana mtu akijitahidi utakuta anafiria kama nna kazi basi...Ndoa its a lot more than that..
 
Hivi ndugu zangu vijana wasasa tunaoana siku mbili tu tunaachana.SWALI:Je,ni kweli hivi sasa watu wanapendana au wanatamaniana tu.Maana ndoa hazidumu kabisa tofauti na wazee wetu.

Huwezi kutamani usichokipenda na huwezi kupenda usichotamani
 
hiv kwanini uowe? ujitie pressure bure wakati mademu wengi hiv?
 
Mke ni kama kisima chenye maji safi, kunywa maji ya kisima chako. Visima vingine cyo acha michepuko.
 
Mmmh siku hizi iwe mahusiano au ndoa kila mtu anaingia kwa mguu mmoja, pakizingua unachomoka, wizi mtupu.

Mapenzi yalikufa na bibi na babu zetu, siku hizi ni maigizo tu, japo wapo wachache wanaojua thamani ya kupenda na kupendwa na endapo wakakutana hao wataenjoy sanaaaaa.
 
kwa sasa tupo kwa kudanganyana tuuh..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom