Hapana kaka. Ingekuwa hivyo singelia hapa. Kamshahsra kenyewe hakatoshi hata kulipa ada ya watoto, st ksyumbaKwanza hongera maana kama umekatwa laki mbili si haba utakuwa kamshahara kako ni kakubwa! AU LABDA NDIO NYIE MLIOKUWA MNAPATA MILIONI 40 SASA MMESHUSHWA HADI MILIONI 15!
angalia makato kwenye salary slip utaona wamekata niniHapana
Hapana kaka. Ingekuwa hivyo singelia hapa. Kamshahsra kenyewe hakatoshi hata kulipa ada ya watoto, st ksyumba
Au ni Loan Board mkuu...!!!Mimi binafsi nafanya taasisi ya umma nimekatwa zaidi ya laki mbili!
Tunaomba kujua ni kitu gani hii!
Hiyo sababu munayopewa haikubaliki. Salary slip zinakuwa tayari kabla ya mshahara kutumwa benki. Ni uvivu wa HR personnel wenu tu kuzifuatilia. Waache viji excuse vibovu na wafanye kazi wanayolipwa kufanya. Kama wakivyokuwa zamani wanasema mikutano haiwezi kufanyika kwenye ukumbi wa jengo la ofisi, mbona sasa wanaweza!Salary slip siku hizi zinachukua mda mrefu kufika kwa ssbabu zinatoka hazina moja kwa moja!
Du! Lets hope not.
Salary slip huwa zinakuja hata baada ya miez miwili kupitaKwani kwenye ofisi yenu huwa hampewi salary slip?, tuanzie hapo
Acheni kutetea upuuzi.HESLB!!!