Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,357
- 100,371
- Thread starter
- #21
Hakika MUNGU anajibu maombi, baada ya kutusumbua kwa zaidi ya one hour kaamua kukaa kimya, naamini kuna nguvu katika maombi! ametulia sasa sijui ndio moja kwa moja au ataanza tena hata sijui! asanteni ndugu zangu ninawapenda!