The Africans!Wanabodi mimi nikiwa mdau wa kilimo nilshuhudia jinsi serikali yetu tukufu ya ccm ilivyo simamaia kidete kwa kuzilazimisha halmashauri kununua power tilla kwa madai ya kuongeza tija kwenye kilimo,lkn leo hii mradi huo umesahaulika kabisa utadhani zile fedha zilizo nunulia hayo ma power tilla zilikuwa ni za viongozi wa serikali ya ccm
Hili ndio umeona ndio jibu muafaka kwa mleta mada?safari ya mbowe ulaya anatumia pesa za chama au zake binafsi?
Ungekuwa makini na mtafiti ungefuata taarifa sahihi katika chanzo sahihi. Humu hamna manager wa huo mradi atakayekupa taarifa sahihi. Kama unataka porojo sawa.Wanabodi mimi nikiwa mdau wa kilimo nilshuhudia jinsi serikali yetu tukufu ya ccm ilivyo simamaia kidete kwa kuzilazimisha halmashauri kununua power tilla kwa madai ya kuongeza tija kwenye kilimo,lkn leo hii mradi huo umesahaulika kabisa utadhani zile fedha zilizo nunulia hayo ma power tilla zilikuwa ni za viongozi wa serikali ya ccm
Akili zako zone Chang any in an a na tope ma...vi?!safari ya mbowe ulaya anatumia pesa za chama au zake binafsi?
Mmemaliza propaganda za Dangote mmeangukia pua sasa mmerukia huku. Hahahah. Hivi mnalipwa kiasi gani cha kuwafanya muutupilie mbali uzalendo wenu. Tunajua pesa za mafisadi zinavyotumika.Wanabodi mimi nikiwa mdau wa kilimo nilshuhudia jinsi serikali yetu tukufu ya ccm ilivyo simamaia kidete kwa kuzilazimisha halmashauri kununua power tilla kwa madai ya kuongeza tija kwenye kilimo,lkn leo hii mradi huo umesahaulika kabisa utadhani zile fedha zilizo nunulia hayo ma power tilla zilikuwa ni za viongozi wa serikali ya ccm
Kiujumla pale fedha za watanzania zimipigwa kimtindo kama zile za speed gavanaInasemekana kuwa 1. Power tiller iligeuka usafiri wa kubebea mizigo tu (news media zilionyesha), 2. power tiller ilishindwa kuhimili baadhi ya aina ya udongo.
Naona wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa kwani kuna wataalam wa kila aina,pole sana nduguUngekuwa makini na mtafiti ungefuata taarifa sahihi katika chanzo sahihi. Humu hamna manager wa huo mradi atakayekupa taarifa sahihi. Kama unataka porojo sawa.
Kwa mwenye mawazo potofu/mgando kama yako.Kujumlisha na viroba vya lumumba
Sio team Lumumba mkuu.apo umenikosea sana.Wewe lumumba ndiyo yameoza kabisaaaaa