Tunaohamia Dodoma tukutane Hapa

Tunaohamia Dodoma tukutane Hapa

Naona mmewapelekea wabunge ushindani sasa huduma zitakuwa msimu wote wa mwaka.

Ila chonde chonde AIDs KILL
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini katika wizara mojawapo Nimehamishiwa kwenye mji mkuu wa Dodoma. Ofisi zetu zipo huku Udom.

Kama nawe ni mmoja wa wahamishiwao mjini Dodoma.

Tukutane hapa Kwa kujitanabaisha kwamba umetokea taasisi ipi na ofc yako ipo wapi.

Nawakaribisha Sana.
Wewe hujataja uko ofisi gani ila unataka wenzako wataje.
 
Back
Top Bottom