uduzungwa
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 552
- 544
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni mwajiriwa wa serikalini katika wizara mojawapo Nimehamishiwa kwenye mji mkuu wa Dodoma. Ofisi zetu zipo huku Udom.
Kama nawe ni mmoja wa wahamishiwao mjini Dodoma.
Tukutane hapa Kwa kujitanabaisha kwamba umetokea taasisi ipi na ofc yako ipo wapi.
Nawakaribisha Sana.
Mimi ni mwajiriwa wa serikalini katika wizara mojawapo Nimehamishiwa kwenye mji mkuu wa Dodoma. Ofisi zetu zipo huku Udom.
Kama nawe ni mmoja wa wahamishiwao mjini Dodoma.
Tukutane hapa Kwa kujitanabaisha kwamba umetokea taasisi ipi na ofc yako ipo wapi.
Nawakaribisha Sana.