Moja kati ya vitu ambavyo vinzaweza vikakushanganza utakapotembelea mji wa Dar es salaam ni hii ya kutoa pesa iliununue pesa, Mfanyabiashara Eli amesema Dar es salaam apatupwi hata pesa mbovu nimekuwekea hii video hapa chini.
Kweli mwanaume ni kujituma, na katika kujituma huko Mungu lazima akubariki na kukupatia riziki. Siyo kutwa vijana wanakaa vijiweni kazi ni kujadili mpira, maisha ya watu nk "Fulani ni freemason" nk