Tunamwomba Ney wa mitego aongeze mistari mingine inayoongelea "Bajeti hewa ipooooo"!

lukoma

JF-Expert Member
Jul 1, 2013
2,995
2,245
Inasemekana bajeti ya 2016/17 mpaka sasa hata theluthi 1/3 haijatolewa wakati tunaelekea ukingoni mwa mwaka wa kifedha.

Hivyo namwomba Ney wa Mitego aboreshe wimbo wake kwa kuongeza mistari inayohusu bajeti hewa. " Bajeti hewa ipooo!
 
Hata maraisi wanaoongozwa na visasi, vinyongo, chuki na roho mbaya...."Wapo"!
 
Inasemekana bajeti ya 2016/17 mpaka sasa hata theluthi 1/3 haijatolewa wakati tunaelekea ukingoni mwa mwaka wa kifedha.

Hivyo namwomba Ney wa Mitego aboreshe wimbo wake kwa kuongeza mistari inayohusu bajeti hewa. " Bajeti hewa ipooo!
we,ndo hata uelew. fatlia vzur kabla hujaandika au wambie wenzako waweke sawa huo Uzi wako
 
Back
Top Bottom