DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,927
- 45,386
mbona mbunge wa hai alipata zero? mbunge wa iringa form four div four. mbunge wa mbeya mmmh
Hatari sana ... Mtu aliyepata zero ...apashwi kupewa Ubunge...
mbona mbunge wa hai alipata zero? mbunge wa iringa form four div four. mbunge wa mbeya mmmh
Hivi unakijua unachokiongea ww???Tafadhali Mh Makonda kijana mchapakazi na hazina ya Tanzania, tunakukubali sana Wanamwanza njoo ugombee ubunge jimbo la Nyamagana wewe ni mtoto wa mwanza. Karibu sana kura zote ni NDIYO...
Sawa. Mchukue.Siasa zimevamiwa mpaka watu waliopata zero nawenyewe mnataka kuwapa ubunge , watu wavijijini amjitambui.
Nimchuke nani ?Sawa. Mchukue.
NimchapakaziKwa hiyo mnataka aje kugombea kwa sababu ni mzaliwa wa Mwanza au una sababu nyingine,ila kama sababu ni hii umeanza kufeli mapema sana,kuna mambo hutakiwa kuyasema katika ulingo wa kisiasa,ulingo wa siasa ni kama ngumi za kulipwa,ukikosea unapigwa pasipo kutarajia.
Ameshaambiwa na Katibu Mwenezi atulie kwanza amalize kazi ya ukuu wa mkoa, la sivyo akijipendekeza kujaza fomu wanajua la kufanyaTafadhali Mh Makonda kijana mchapakazi na hazina ya Tanzania, tunakukubali sana Wanamwanza njoo ugombee ubunge jimbo la Nyamagana wewe ni mtoto wa mwanza. Karibu sana kura zote ni NDIYO...
Hatuwezi kuwa na mtazamo sawa ila kiukweli kijana anajituma Sana katika kutatua changamoto, big up Mh Paul makondaAmeshaambiwa na Katibu Mwenezi atulie kwanza amalize kazi ya ukuu wa mkoa, la sivyo akijipendekeza kujaza fomu wanajua la kufanya
Hariri basi hoja yako kwanza.Nimchapakazi
Rudia kusomaHariri basi hoja yako kwanza.
Sawa, kama hajamsikia kiongozi wake na akachukue hiyo fomuHatuwezi kuwa na mtazamo sawa ila kiukweli kijana anajituma Sana katika kutatua changamoto, big up Mh Paul makonda