Nani kakudanganya Nyamagana ni kijijini?Siasa zimevamiwa mpaka watu waliopata zero nawenyewe mnataka kuwapa ubunge , watu wavijijini amjitambui.
Hapo mnaletewa kijana mchapa kazi kutoka Chadema!Tafadhali Mh Makonda kijana mchapakazi na hazina ya Tanzania, tunakukubali sana Wanamwanza njoo ugombee ubunge jimbo la Nyamagana wewe ni mtoto wa mwanza. Karibu sana kura zote ni NDIYO...
Mmmhhhh!!!!!!
Mimi na weweTuna muitaji ? Wewe na nani na mkeo au....
Dark Side
Mara mia Bashite huyo Mabula ni msanii tu
Hao wote ni wagombea wa Nyamagana,si mchezo.Huwaga wapo kwenye kambi ya waziri mkuu huwa wanabana vitu lakini vinahishia kutopata urais wanawake wao:
1. Malecela
2. Majaliwa
3. Pinda
4. Lowasa
5. Msuya
Tawezekana hawakuoa wanawake wenye dharau hapo zamani ulikuwa handsome na ulikuwa na fedha nyingi na vingora hadi nyumbani baby
Ndiyo walivyo saizi hatujui nani ni nani maana kama walituletea uongozi wa kuridhi itakuwa fursa kwa hisani ya watu wa marekani
1. Watoto na mke wa Nyerere
2. Watoto na mke wa mwinyi
3. Watoto na mke wa mkapa
4. Watoto na mke wa kikwete
5. Watoto na mke wa magufuli
Kukaa ikulu raha lazima siri zitavija ukiweka toy la urais,,
Lazima wawagawe wanawake
Nini hiki?Huwaga wapo kwenye kambi ya waziri mkuu huwa wanabana vitu lakini vinahishia kutopata urais wanawake wao:
1. Malecela
2. Majaliwa
3. Pinda
4. Lowasa
5. Msuya
Tawezekana hawakuoa wanawake wenye dharau hapo zamani ulikuwa handsome na ulikuwa na fedha nyingi na vingora hadi nyumbani baby
Ndiyo walivyo saizi hatujui nani ni nani maana kama walituletea uongozi wa kuridhi itakuwa fursa kwa hisani ya watu wa marekani
1. Watoto na mke wa Nyerere
2. Watoto na mke wa mwinyi
3. Watoto na mke wa mkapa
4. Watoto na mke wa kikwete
5. Watoto na mke wa magufuli
Kukaa ikulu raha lazima siri zitavija ukiweka toy la urais,,
Lazima wawagawe wanawake
Ulichoandika sijakielewa mkuuSijakuelewa
Hawa ulowataja wanakuja Nyamagana?Huwaga wapo kwenye kambi ya waziri mkuu huwa wanabana vitu lakini vinahishia kutopata urais wanawake wao:
1. Malecela
2. Majaliwa
3. Pinda
4. Lowasa
5. Msuya
Tawezekana hawakuoa wanawake wenye dharau hapo zamani ulikuwa handsome na ulikuwa na fedha nyingi na vingora hadi nyumbani baby
Ndiyo walivyo saizi hatujui nani ni nani maana kama walituletea uongozi wa kuridhi itakuwa fursa kwa hisani ya watu wa marekani
1. Watoto na mke wa Nyerere
2. Watoto na mke wa mwinyi
3. Watoto na mke wa mkapa
4. Watoto na mke wa kikwete
5. Watoto na mke wa magufuli
Kukaa ikulu raha lazima siri zitavija ukiweka toy la urais,,
Lazima wawagawe wanawake
mbona mbunge wa hai alipata zero? mbunge wa iringa form four div four. mbunge wa mbeya mmmhSiasa zimevamiwa mpaka watu waliopata zero nawenyewe mnataka kuwapa ubunge , watu wavijijini amjitambui.