MARKYAO
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 673
- 682
Nimewiwa kupost ujumbe huu maana nilivutiwa sana na baadhi ya mambo aliyoyaongelea Rais siku anakutana na Wafanyabiashara Ikulu juzi na miongoni ya mambo ni kuwaruhusu wafanyabiashara kufunguka na kuonesha uhalisia w hali ilivyo mbali na kudanganywa wa watendaji wake hapo nyuma.
Zaidi ya yote ni action kuhusu bandari ya bagamoyo ambayo ilikuwa Kitanzi kwa taifa na maono ya kuimarisha Uchumi wetu. Hongera sana Raisi kwa hilo.
Watendaji wako ndio vichaa maana ndio walikuwa wanashinikiza kuendelea na Bandari hiyo hata bungeni wakasema serikali ij na majibu.
Majibu sawia uliyatoa na naamini ulikuwa miogoni mwa baraza la mawaziri liliokaa kabla hujawa raisi na ulijua fika tulivyokuwa tunaenda kuumizwa na wachina.
Wachina ni Maadui wa Uchumi kwa nchi zinazoendelea na wanatumia kila aina ya tricky kudanganya hasa wanapokutana na viongozi wasio na maono. Werevu watakuelewa kupitia video hii..
Zaidi ya yote ni action kuhusu bandari ya bagamoyo ambayo ilikuwa Kitanzi kwa taifa na maono ya kuimarisha Uchumi wetu. Hongera sana Raisi kwa hilo.
Watendaji wako ndio vichaa maana ndio walikuwa wanashinikiza kuendelea na Bandari hiyo hata bungeni wakasema serikali ij na majibu.
Majibu sawia uliyatoa na naamini ulikuwa miogoni mwa baraza la mawaziri liliokaa kabla hujawa raisi na ulijua fika tulivyokuwa tunaenda kuumizwa na wachina.
Wachina ni Maadui wa Uchumi kwa nchi zinazoendelea na wanatumia kila aina ya tricky kudanganya hasa wanapokutana na viongozi wasio na maono. Werevu watakuelewa kupitia video hii..