Kaka Shibuda ana matatizo ya akili na ni very cheap kumtumia ata wewe kesho ukimwambia naomba ukaniongelee jambo langu hili kuna maji ya kunywa nakuambia utamsikia. Nchi haiwezi kuwa na kiongozi mweu nadhani anota ndoto za mchana.
Wakuu,
Kwanza naomba kudeclare kuwa mie si CHADEMA. Nimekuwa nikifuatilia majibishano ya John Shibuda na watu a chama chake. Fine. Nikajiuliza.........
Kweli kwa sasa nchi yetu inahitaji raisi wa mipasho? Yani mtu anayeropoka ropoka hivi....kama hawezi kuudhibiti mdomo wake....what about akili yake? Just thinking aloud
Wakuu,
Kwanza naomba kudeclare kuwa mie si CHADEMA. Nimekuwa nikifuatilia majibishano ya John Shibuda na watu a chama chake. Fine. Nikajiuliza.........
Kweli kwa sasa nchi yetu inahitaji raisi wa mipasho? Yani mtu anayeropoka ropoka hivi....kama hawezi kuudhibiti mdomo wake....what about akili yake? Just thinking aloud
Wakuu,
Kweli kwa sasa nchi yetu inahitaji raisi wa mipasho? Yani mtu anayeropoka ropoka hivi....kama hawezi kuudhibiti mdomo wake....what about akili yake? Just thinking aloud
Wengi wenu na viongozi wa cdm ni WANAHARAKATI , Shibuda ni MWANASIASA, hapo tu ndipo mnashindwa kumuelewa Shibuda, na kamwe hamto mwelewa kwa upeo mdogo mlio nao
Wengi wenu na viongozi wa cdm ni WANAHARAKATI , Shibuda ni MWANASIASA, hapo tu ndipo mnashindwa kumuelewa Shibuda, na kamwe hamto mwelewa kwa upeo mdogo mlio nao