Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 733
Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wakutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka.
Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kuanzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au zaidi. Ikiwemo Msikiti, Madrassa ya Qur'an, Shule ya chekechea na Shule ya msingi.
Tupo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo. Kufika kwetu tuoanane na kusaini mikataba kabla ya kuanza kazi ni muhimu. Karibuni.
Wasiliana na Mzee Abdul Ghafur 0625249605
Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kuanzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au zaidi. Ikiwemo Msikiti, Madrassa ya Qur'an, Shule ya chekechea na Shule ya msingi.
Tupo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo. Kufika kwetu tuoanane na kusaini mikataba kabla ya kuanza kazi ni muhimu. Karibuni.
Wasiliana na Mzee Abdul Ghafur 0625249605